Kuna kazi kubwa sana kwenye swala la kutumia vipimo kama ushahidi na hapo inabidi mahabara ya mkemia mkuu wa serikali iwe tayari kuonyesha mlolongo wanaotumia kujihakukishia ni dawa ya aina gani anatumia na je hakuwa anatumia dawa zingine au miti shamba inayoweza kuwa na chembechembe zinazoweza...
Bila shaka watajitokeza wahusika
Inabidi uwe makini na matapeli wakati wa kutafuta mtu wa kukujengea green house
1. Hakikisha unaenda kuona sehemu ambapo huyo mtu amejenga green house na inabidi umuone mmiliki wa hiyo greenhouse ili uweze kujiridhisha.
2. Hakikisha unaijua ofisi ya huyo...
FALSE NEGATIVE RESULTS OF COCAINE TESTS
There are times when false negative results are received. There are many reasons why this would happen. Too much intake of water and the utilization of detox kits are some of the reasons.
FALSE POSITIVE RESULTS OF COCAINE TESTS
It has been reported that...
Tanzania
No person charged with a criminal offence shall be treated as guilty of the offence until proved guilty of that offence (art. 13(6)(b) Constitution)
African Charter on Human and People’s Right
Article 7(b) provides that “The right to be presumed innocent until proved guilty by a...
Alishafanya haya
1. Kuorozesha wakazi wote kwenye mitaa.
2. Kukamata watu watakaokutwa guest.
3. Vijana.wasio na kazi wakamatwe
4. Shisha kupigwa marufuku
5. MASHOGA hawaruhusiwi Dar
6. Kampeini ya dar mpya na kamatakamata ya wenyeviti wa serikali za mtaa na kuwasaka malaya kwenye madangulo...
Ndugu zangu kusema ukweli jengo ka kipindi hiki ambalo inabidi waishi wanafunzi kwa milioni 500 ninawasiwasi sana. Maana tuchukuliwe mtu anayejenga nyumba ndogo ya ghorofa moja yenye vyumba kama vinne anaweza kweli kuimaliza kwa milioni 100?
Ujenzi wa majengo makubwa umebadili sana hasa...
Siyo kweli ndugu yangu amechaguliwa mara ya kwanza 2013. Na katiba ilibadilishwa wakati wa kibaki na haisemi muhura mmoja hivyo anazo sifa za kugombea tena 2017.
Nd
Nadhani hamjaelewa kwa nini uhuru alisema hivyo...wakati wa hotuba za walio wengi hasa laila na wenzao walikuwa wanamshabulia sana uhuru sasa lowasa alipopewa nafasi ya kuongea akamwambia uhuru naona mheshimiwa umekalia kitu ch moto. Hii lowasa aliisema kutokan na jinsi kina laila...
una uhakika kweli na unachokisema...tuwe tunafanya uchambuzi wa kina kuliko kufikiria kwa wepesi namna hii...kwani nini tusijadiliane mustakabari wa nchi yetu...nini kifanyike na kwa nini nguvu kubwa ya dola inatumika wakati huu ukilinganisha na miaka iliyopita??
mimi sioni kama kuna tatizo jamani kumbukeni yaliyotokea kenya mwaka 2007/2008...tena rafiki wa mkuu wetu ndo alihamasisha watu waingie mtaani. Matayarisho na nguvu ambazo zimetumika kungetokea umwagaji mkubwa wa damu. Japo mnawabeza ila mimi naona wamefanya jambo la maana kuhairisha hayo...
Hata mimi nakumbuka miaka mingi kidogo imepita kuna mmoja nilikuta naye na alikuwa anajiheshimu sana kwa kweli...
Kitu muhimu ni kwamba kazi ni kazi tu ila bahati mbaya mara nyingi watu wengi tumetokea kiwadharau wafanyakazi wa Bar sijui kwa nini.
Kwanza kama huyo unakuta hana hata makundi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.