Jipya nililoona ni kwa Chadomo kusababisha watu kupoteza maisha kwa ujinga Kama ilivyotokea jana Morogoro, Hivi ile kesi ya Mnyika ya kusababisha mauaji Kule kwa Nchemba inaendelea vipi? Mpori naye anachekesha sana kapigwa mjengoni eti kisasi unamfuata MTU kwake si ndio balaa sasa.
Aaah! Watu wengine mnachefua, eti kuongeza idadi ya vyama......watu hata hawajaanda mshikemshike ushahukumu acheni hizo chadomo! Kama mnaziamini Hofu ya nini?
Hahaha afungwe jela akanyolewe ndevu zake ili ajue Nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Yani Makamu WA Raisi anadharau Amri ya Mahakama! Huyu ni jela tu! Hahahaaaa.
Hili suala la Bendera Mbona Chadema mmelikomalia hivyo? Kwani kufanana rangi inawapunguzia nini au mnawaogopa hawa ADC? La Msingi hapa ni Kama wamejipanga kweli kwa ajili ya mageuzi NCHINI na sio vibaraka.
hongera zenu ADC kwa hatua mliyofikia.
Mtamudu VIPi kumgundua kiongozi Kama ametangaza Mali zake zote kihalali/kweli? (kwenye blue)?
Namba moja (kwenye red) nimeipenda hii au ndio Yale ya Maalim Seif na CUF yake? (usultani) Je?ni kweli wengi mlioanzisha ADC ni wale mliofukuzwa CUF hivyo mnachuki iliyopelekea mfanyie kazi mapungufu...
Huu Ni mwanzo MZURI (kwenye blue), nafasi za upendeleo kwa KINA mama na walemavu, japo walemavu mmeweka asilimia Ndogo lakini sio ishu, Sasa Je inakuwaje Kama hawatojitokeza kugombea nafasi husika? Ie: wanawake na walemavu, nafasi zao zinajazwaje?
Zito si ndio timu moja na shibuda eeH!! Basi Zito ni bora kuliko Kadinali oooh sore Kuliko Padri Dokta Wilbrod Slaa. Hivi kweli Mbowe atauchuna tu nafasi hii ya maujiko? Si na yeye atataka kugombea huyu?
Tutamkumbuka JK coz aliyofanya ni mengi na hakuna presidenti yeyote NCHINI waliomtangulia akathubutu kufanya hao.......hv sasa tunajadili Katiba mpya.....vp baba Ben alihubutu hil? Mzee ruksa Je? Baba WA TAIFA ndio alikua mtemi haswaaaaaaa! Jaribu kumfanyia ndivyo siyo uone mziki...
Hahaaaa! Wewe kweli umefilisika kimawazo, Ni nani aliyekwambia kwamba bila ya viongozi hao unaowaita Wazoefu chama hakiwezi kusonga mbele?
Hivi ni nani asiyefahamu kuwa CUF ni wasaidizi WA CCM?
CDM iko Tayari kupoteza Uhai WA waTanzania kwa maslahi yao Binafsi, kwani migogoro yooooote, wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.