kuna vitu ambavyo huwez kumweleza i admit that lakin kuna situation kam kwa mfano ur x alikuficha kitu fulan alafu mwisho wa siku ukaja kukigundua na ikawa sababu ya nyie kuachana je kitu kama hik kibaya jaman
Kuna ulazima wowote wa kushare ur past things/shits with your new boyfriend and if yes unadhan ukifanya hvy itakuongezea chochote kama yeye kukupenda zaidi au kukutreat tofaut maana huwa inafikia point unatamani kushare maumivu yako na kila mtu mahusiano yanaumiza jamani kama ukikutana na wrong...
kama wewe ni kijana ambaye una umri wa miaka 25 hii ni speacial kwa wasichana ukipata chance ya kuolewa aisee usiikatae cz i did my reserch about this marriage things nikagundua kuwa unamuhimu wa kuolewa mapema faida ya kwanza unajijengea heshima binafsi wazazi pamoja na jamii , pili...
Habarini wanajamvi.
Mimi naudhika jamani kama humu ndani kuna wazazi samahani sana, ila mnakosea sana kulazimisha mabinti zenu kuolewa na aina ya kabila fulani.
Kwani mtu anaoa kabila au mtu.Utakuta watu wameshapendana wakifika nyumbani wazazi wanakataa eti kigezo kabila fulani...
Habari zenu wanajamvi
Jamani mimi mpaka naogopa kuolewa Jamani, I meet this guy ameoa ana watoto watatu lakini anaenda kulala na machangudoa jamani ambao wanatafutiwa na madereva bajaji. Yaani nilisimuliwa na dereva bajaj mpaka nikasisimka kuna haja ya kuolewa kama mambo ndiyo yapo...
Nina mtaj wa million mbil je unafaa kuanzisha biashara n if yes ni biashara gan mim biashara nilizokuwa nawazia kil nikijaribu kuuliz ambao wanafana wananiambia mtaj million mbil kwahy imekuwa ngumu kidg
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.