Hizi safari za rais zimezidi sana,hakuna uwezekano hizi safari zichunguzwe au kuundiwa kamati/tume ili
kujua imeleta manufaa gani kwa taifa,au hakuna mamlaka inayoweza kufanya uchunguzi wa hizi safari au hata kustopishwa kwanza.
atakuwa kasoma alama za nyakati,mfano we angalia tamko la kutaka urais ilitangulia halafu hizi kashfa ndo zinakuja,kwanini kashfa za rushwa hazijatangulia halafu ndo tamko la kutaka urais lifuatie?na ninakwambia kwa upande wa chama huu ndo mwanya pekee kutumia,ukishindikana hakuna njia nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.