Niaje wana jf? Nina habari njema kwa wale walio ucngizin kuhusu suala la mikopo.kwa huku niliko kuna chama cha kibiashara kiitwacho BRAC.kinajihusisha zaidi na utoaji mikopo.By the way ni loans zenye masharti mepesi na riba zao ni nafuu.kwa hapa k.njaro wana branches kadhaa ila cjajua kwa huko...
Cna meng ya kusema na tunapaswa kuoneana huruma wote cos kila mmoja we2 anabeing on trouble for selftime.according frm bible writtens we saw that MUNGU aliumba wanadam na kuwalaan baada ya kuas.laana yenyew n mwanaume atavuja jasho had damu due to life strugles.na mwanamke atazaa kwa uchungu.cha...
Kuna kichaa alkuwa kando ya bahari cku moja akitazama maj,akapita msela akamwambia vp man,'umeona nin kipya huko?'yule kichaa akamjibu'NAITAFAKARI SANA HII BAHARI INGEKUWA SUPU CJUI NINGEINYWA NA CHAPATI NGAPI.msela hoi domo waz
By critical thinks i believe that:uchaw na mchaw ni fan ya kitu au ya mtu.dont matter kuwa mtakatifu au mwovu.ila IMANI ndiyo msing wa kuufikia uzima wa milele,mbali na din ambazo twajua fika zimeanzishwa na binadamu wa nyama na mifupa.kwa minajili hiyo bas,tujue uchaw na mchaw siyo vitu vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.