Hapa ni patamu sasa, hatimaye kilio cha wana JF kuwa mafisadi watangulie mahakamani ili ushahidi utolewe hatimaye majibu yamepatiakana, kinachotakiwa si mawazo kama ya Mpita Njia eti "Better wapi Mkuu... hivi ni vita vya mafahari, sisi nyasi tutaendelea kuumia tu" inabidi tuyatafakari kwa...
Maeneo ya mlimani hali ilikuwa mbaya kiasi, manake wengi walifikiri ni radi, lakini majengo yametikisika na magari yenye alarm yamelipuka, mlipuko wa ving'ora.
Ahsante sana ushauri huu "You really need to read the document maana its more than "kuvuja siri za serikali " "- , ndo maana nikasema hili bandiko linasema mengi zaidi ya jinsi tunavyochangia humu.
Nimetumia maneno ya siri za serikali lakini katika mabano kuonyesha kuwa kila mtu aliye karibu na...
Mimi sijaisoma kwa sababu haifunguki, lakini kwa jinsi nilivyofuatilia michango mbalimbali ya wachangiaji wakiwemo ninaowaheshimu sana, hali ni mbaya zaidi kuliko tunavyoiona katika bandiko hilo.
Kama unataka kuamini angalia jinsi serikali inavyopambana na kutisha wa juu ya kuvuja kwa...
JK anaposema: "…CCM na serikali yake, vimetoa fursa pana zaidi kwa wananchi, wanahabari na viongozi, wakiwemo waheshimiwa wabunge, kushiriki kikamilifu zaidi," anamanisha serikali ipi? au ni ile iliyolifungia gazeti la mwanahalisi? au inayopata kigugumizi juu ya kuwapeleka Fisadis Kisutu...
Huyu jamaa kutoka TRA,Chali Ubunge(CCM-Tarime) mpaka Ukuu wa Wilaya? Si Mwingine ni Bw. Christopher Ryoba Kangoye (Kwimba, Mwanza). Kweli Tanzania kila kitu kinawezekana ukizingatia pesa aliyopoteza pale Tarime kwenye mchakato wa uchaguzi Tarime, na alikuwa anakaribia kustaafu pale TRA, ngoja...
Mzee Heshima mbele,
Binafsi sijui contacts za viongozi wa chama cha maalbino-Tanzania, ila naona wako chini ya hii Federation.
SHIVYAWATA - Tanzania Federation of Disabled Peoples Organizations
"The umbrella organization for NGOs of- and for- persons with disabilities in Tanzania, in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.