Hizo Phd unazozungumzuia ni za historia ya kanisa,theolojia,kanuni za kanisa n.k na si Kama unavyofikiri(sercular).Kuhusu kuandaa watu kila mkmkoa ili waachague muft mzuri,Hilo haliwezekani kwasababu fahamu kuwa Bakwata ni system.Yeyote ambaye hafut kwenye hiyo system hataweza kuingia na...
Waislamu wanamuona nyerere Kama adui Yao no 1 kwa sababu kwa makusudi aliivunja taasisi ya EAMWS,taasisi ambayo Kama ingeendelea kuwepo,mtoa mada asingepata hoja za kutoa mada yake.Baada ya kuivunja hiyo taasisi aliunda BAKWATA ambayo madhara yake ndio haya tunayoyaona.Kazi waliyo nayo ni kuuza...
Habari niliyoisikia ni kuwa Wazee wa mkoa wa Mwanza ndio walioomba msamaha.Hiyo ya waislam sijaisikia.Au kwa kuwa aliyehojiwa ni muislam?Udini tusiupe nafasi.Yakitokea machsfuko hayachagui mwenye dini na asiye na dini.....!
Kasome kitabu kinachoitwa kanisa katoliki na siasa za Tanzania,kilichoandikwa na padri Syvalon ndio utajua kwanini radio imaan wanazungumza wanayozungumza.
Tatizo halipo kwenye kutohesabiwa tu,bali hata kwa waliohesabiwa data zimechakachuliwa.Mfano kwangu karani alimkuta wife akamuuliza maswali 3 out of 62;jina,kazi na umri.Kwa jirani aliwakosa akaacha maagizo wakija waache majina tu,keshoyake asubuhi atayapitia i.e swali 1 out of 62... HIYO NDIYO...
Sheikh wa TZ? sema Sheikh mkuu wa BAKWATA.Kumbuka BAKWATA iliundwa na Nyre mwaka 1968 baada kuivunja East Africa Muslim Welfere Society,jumuia ambayo ilikuwa imewaunganisha waislam pamoja na kuwaletea maendeleo ikiwemo ujenzi wa shule ambazo baadae zilitaifishwa .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.