Search results

  1. M

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    Kinondoni muslim..!that's BAKWATA property...!?
  2. M

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    Hizo Phd unazozungumzuia ni za historia ya kanisa,theolojia,kanuni za kanisa n.k na si Kama unavyofikiri(sercular).Kuhusu kuandaa watu kila mkmkoa ili waachague muft mzuri,Hilo haliwezekani kwasababu fahamu kuwa Bakwata ni system.Yeyote ambaye hafut kwenye hiyo system hataweza kuingia na...
  3. M

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    PhD za historia ya kanisa na theologia..!!!
  4. M

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    Waislamu wanamuona nyerere Kama adui Yao no 1 kwa sababu kwa makusudi aliivunja taasisi ya EAMWS,taasisi ambayo Kama ingeendelea kuwepo,mtoa mada asingepata hoja za kutoa mada yake.Baada ya kuivunja hiyo taasisi aliunda BAKWATA ambayo madhara yake ndio haya tunayoyaona.Kazi waliyo nayo ni kuuza...
  5. M

    Kipindi cha kumbukumbu ya Mwl Nyerere; mgeni Mohamed Said - Radio Imaan

    Fikisha ukweli dr Mohamed Said.,japo wapingaji watachukia. Siku zote ukweli ni wenye kushinda.
  6. M

    Hivi ni upi U - professor wa Mh Lipumba? Sina shaka na elimu yake lakini.....

    Uislamu umeingiaje Tena?inaonekana chuki zako dhidi ya uislamu umeamua kuziweka wazi.
  7. M

    Pinda akiri kuzomewa Mwanza, afunguka wananchi kusahauliwa

    Habari niliyoisikia ni kuwa Wazee wa mkoa wa Mwanza ndio walioomba msamaha.Hiyo ya waislam sijaisikia.Au kwa kuwa aliyehojiwa ni muislam?Udini tusiupe nafasi.Yakitokea machsfuko hayachagui mwenye dini na asiye na dini.....!
  8. M

    Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

    Acha udini.yeyote anayetazama mambo kidini, naye ni mdini tu.
  9. M

    Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

    Kasome kitabu kinachoitwa kanisa katoliki na siasa za Tanzania,kilichoandikwa na padri Syvalon ndio utajua kwanini radio imaan wanazungumza wanayozungumza.
  10. M

    Dr. Ndarichako jipange ur next.....

    Hapa naona chuki tu dhidi ya uislam na waislam.
  11. M

    Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

    Acha chuki.Unataka kusema wote walioandamana na wanaohudhiuria mikutano ya CDM ni wakiristo???
  12. M

    Kaya 343 Kinondoni zagomea Sensa Dar es Salaam

    Tatizo halipo kwenye kutohesabiwa tu,bali hata kwa waliohesabiwa data zimechakachuliwa.Mfano kwangu karani alimkuta wife akamuuliza maswali 3 out of 62;jina,kazi na umri.Kwa jirani aliwakosa akaacha maagizo wakija waache majina tu,keshoyake asubuhi atayapitia i.e swali 1 out of 62... HIYO NDIYO...
  13. M

    Sheikh Ponda amezitoa wapi hizi takwimu?

    Sheikh wa TZ? sema Sheikh mkuu wa BAKWATA.Kumbuka BAKWATA iliundwa na Nyre mwaka 1968 baada kuivunja East Africa Muslim Welfere Society,jumuia ambayo ilikuwa imewaunganisha waislam pamoja na kuwaletea maendeleo ikiwemo ujenzi wa shule ambazo baadae zilitaifishwa .
  14. M

    Katiba mpya: Waislam watoa madai mazito Mwanza yawekwe kwenye katiba mpya

    Wasaidie waislam kuitaka serikali iingize kipengele cha dini kwenye sensa ili u prove idadi yako hiyo ya waislam.
  15. M

    Katiba mpya: Waislam watoa madai mazito Mwanza yawekwe kwenye katiba mpya

    Mbona kuna mahakama ya biashara;kwani kila mtanzania ni mfanyabiashara?
Back
Top Bottom