This is what I had in mind
nilidhani kuwa ya kwetu ingeenda mbali zaidi lakini inaonekana matakwa ya watu milioni 45 yamedharauliwa na sote tumefanywa kama watoto wadogo
Lakini Nyerere na Karume sio mihimili ya taifa hili.
walikuwa ni personalities na washakufa na hatuwezi kuendelea kuongozwa na wafu
tuna katiba na mihimili ya taifa
na kama zanzibar wanataka kuondoka wapewe nafasi ya kufanya referendum waamue hatma yao
kuna ubaya gani hapo?
Sasa hii ya kuwa na wabunge kwa sababu ya jinsia ni waste of money na ilitakiwa kila mbunge aingie based on merit
Imagine mama LWAKATARE anavyo tu cost sisi wananchi
huu ni wendawazimu na ujinga ambao ilitakiwa uondolewe.
Ipi iko more progressive kati ya hizi mbili?
naamini wataalam washafanya comparative analysis hebu tupeni majibu .
KATIBA YA KENYA HII HAPA:
http://www.constitutionnet.org/files/Kielelezo_Pantanifu_cha_Katiba_ya_Kenya.pdf
RASIMU YA TANZANIA HIII HAPA...
Go to 9m50s for the start of the major reasons of why you should never eat GMO. It won't kill you but you might wish it did.
Oh and at 49m 55s it starts getting really spicy regarding infertility.
Go to 9m50s for the start of the major reasons of why you should never eat GMO. It won't kill you but you might wish it did.
Oh and at 49m 55s it starts getting really spicy regarding infertility.
Kenya Bans GMO Food Imporatation
GMOs banned as cancer fears grow - News - nation.co.ke
The government has banned the importation of genetically modified foods with immediate effect. (Yeah!)
Consequently, Public Health and Sanitation minister Beth Mugo ordered public health officials to mop...
Ngoma ikivuma sana hupasuka; walisema wahenga; Nehemia Kyando Mchechu ni bogus; na kuanguka kwa jengo hilo Indira gandhi street is an eye opener; shughuli za NHC zichunguzwe kwa undani kabisa, Majengo mengi mapya mapya ya NHC viwango vya vya ujenzi na usimamizi leave a lot to be desired...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.