eti umeme ndo unarudi sahv.duh ! Kweli wao wana mamlala na kuamrisha.siasa za tanzania za kishamba.kama kweli ilikuwa ni hujuma ,mwenyez mungu awahukumu kulingana na uovu wao.
ni dhahiri mwenyezi Mungu anawafungua wananchi uelewa wao ili kupigania maslahi yao kupitia masuala haya yanayofanywa kinyume na haya maccm,hvyo wananch wafunguke na kupinga mambo dhalimu .
mleta mada ufahamu wake ni mdogo sana,suala la bunge kufanyika leo lilijulikana mbona,sheria ilitenguliwa na kuruhusu mjadala ufanyike,rudi kajipange upya,
namuunga mkono tundu lisu mia kwa mia,wananch kuendelea kukipa dhaman chama kilichoshndwa kuboresha elimu,leo mnapewa fursa hyo mnagoma,then apeleke shule za kata,no no,hata mimi sipeleki shule za kata mwanangu,
taifa linaingzwa mkenge na Seth!aibu. Hata kama muhongo kafanya vizuri kwahili baya wajibika ndg,Werema amesema anamlinda maswi,kwann wasielekeze kumwondoa AG?
mziki mkubwa sana naskia upo kinampanda,naskia diwani anawatisha vijana,kwa kuwambia kwann wanaweka bendera ya chadema ikipepea,komaeni hasa mtoeni huyo,eti mwenyekiti wa halmashauri,muulizeni ana project zipi ktk kata yake,kila la heri chadema.
kwa namna ambavyo bunge la tz linavyoongozwa na spika ni dhahiri kwamba yupo pale kwa lengo la kusimamia maslahi ya mhimili mwingne,utaratibu wa miongozo ni utaratibu wa kawaida unaoombwa na mbunge,lakini mh spika anagoma kuwapa muda baadhi ya wabunge kupatiwa mwongozo wake kwao,hvyo upendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.