Mungu irehemu Tanzania, utuhurumie . Warehemu na hao walio na nafasi ambazo wanageuza kuzitumia vibaya,utu umetoweka,watanzania imefika mahali utashi hatuna,lakini utu pia umetoweka. Mungu irehemu Tanzania ,utuponye. It is against humanity.
Nafikiri ifike mahali watanzania wapate madarasa ya uadilifu...ethics courses labda itasaidia lakini ianzie nyumbani toka mtoto mdogo afundishwe juu ya ubaya wa tamaa na rushwa na pia afundishwe kufikiria wengine na kuchukia ubinafsi....hasa unapokuwa na nafasi katika nchi hii. Kwa hawa walioko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.