Wana-JF,
Ikiwa ni miezi mitatu kamili kabla ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kufanyika hapa nchini, jana tarehe 25 Julai 2015 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amefanya Uteuzi wa Majaji 13 wa Mahakama Kuu.
Walioteuliwa ni pamoja na ndugu Ignas Pius Kitusi, ndugu...
Unaweza kusema CCM inalazimisha mapenzi kwa wananchi. Wananchi wameichoka. Wananchi hawaipendi CCM. Leo nimefika katika kituo changu nilichojiandikishia kupiga kura hapa jijini Mbeya, nikiwa na hamu kabisa ya kutumia haki ya msingi kumchagua kiongozi nimtakaye. Mbali na mimi niliwakuta pia...
Mbona hilo tunalijua! Yale mapovu waliyokuwa wanayatoa bungeni pasipo hoja tulijua wamelamba mapesa. Watu kama Assumpta Mshama (Mbunge wa Nkenge), Suleiman Nchambi (Mbunge wa Kishapu), Mbunge wa Viti maalum na Mwenyekiti wa( UWT) Temeke, Mariam Kisangi na wengine wengi hawafai kuwa viongozi...
Kulingana na utafiti wangu nilioufanya kwa kuangalia samples za maprofesa mbalimbali waliopewa majukumu serikalini wameshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo kitu kinachonifanya ni-conclude kuwa sio uprofesa unaoongoza bali kipaji, moyo wa uzalendo, na uadilifu wa mtu. Kwa muda mrefu na kwa...
Huyu mama kama atasoma hizi comments za JF lazima anywe sumu. Kama asipojiua basi nitaamini kweli yaliyoongelewa humu ni kweli! Kwamba mbunge wa kitandani!! Ha ha ha haaaaaaaa! Watu wana maneno!
Siku ya jana tarehe 26 Novemba 2014 taifa letu limeandika historia nyingine mbaya kutokea katika uongozi wa awamu ya nne ya utawala wa nchi hii. Historia hii iliandikwa wakati taarifa ya Kamati ya PAC iliposomwa bungeni kufuatia matokeo ya ukaguzi maalum wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...
Kuna taarifa kuwa Mahakama Kuu ya Tanzania imeliingia Bunge la Jamhuri ya Tanzania kwa kuzuia ripoti ya IPTL kuhusu uchunguzi wa ufisadi katika Akaunti ya Tegeta Escrow kujadiliwa humo bungeni kwa kile kinachoitwa eti kuna kesi mahakamani. Leo asubuhi tumemuona Waziri Mkuu alivyokuwa akitoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.