Napenda kuwauliza wenzangu hivi Kwa tathimini yenu ndogo kweli itasaidia kupunguza foleni au ni shida tuu Leo nimekaa kwenye foleni masaa matatu.Mimi Kwa uelewa wangu nashauri magufuli awake flyover kwenye traffic light wananchi tunapata tabu sana jamani.
Wadau hebu jiulize umeshuriki VIP katika siku Hui athimu ya kinywa Na meno je umeshawahi kwenda kwa daktari was kinywa Na men I kwa ajili ya uchunguzi.ninawashauri muwe Na tabia ya kuchunguza afya zenu Mara kwa mara
Kusema ukweli kilichotokea mjengoni jana sio siri wananchi wamehuzunishwa sana kumbe wale watu hawako kwa maslahi ya nchi hii kwa nini bunge katiba lisifutwe kabisa haina maana yoyote kabisa.nawakilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.