hizi salon kazi kweli kweli....nilikwenda wakati mmoja na my numero uno..akieda kunyolewa....yaani mzee mmoja babake mtu...amelala usingizi akisikizia sijui ni massage ya kichwa..halafu the gal places the clients head btn her boobs eh!!!! weee nikasema mweh!!!!
argggggghhhh.bwana mambo ya kutafutiwa mke yalipitiwa na wakati ....afanye moyo wake unalotaka....siku maji yakishinda unga huko mbeleni hao ndugu zake watamsaidia????????
isnt it too late for this???? yeye yaani kakumbushia na mchotara wake hakutumia hata kinga....afadhali mtoto je angepata na ngoma!! watu wengine hawasaidiki bwana!!
Marafiki wangu wote wa JF najua pahala la kuwapata...chumbani humu kwa MMU...nimepotea siku nyingi kiasi.....sio kwa ubaya...jamani KULEA! kabinti kangu kamefikisha miezi sita jana....kazuri kweli!! wacha tu niendelee kulea..... hope nyote muwazima wa afya!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.