Muda Mfupi uliopita Ben saanane, Ameitikia wito uliomtaka kufika Makao makuu ya Jeshi la Polisi Wilayani Rombo,Ikumbukwe kuwa Ben saanane pamoja na Wanaharakati na wananchi Wa Wilaya hiyo,Wamewasilisha Barua yakuomba kibali chakufanya Maandamano ya Amani kupinga kauli za kidhalilishaji...
Katika Mikutano ya Hadhara inayofanywa na ACT hususani wa Jana Mkoani Tabora, Wamekuwa wakiuza Vitabu vilivyoandikwa na Deo Meki kuhusiana na Chacha Wangwe kiitwacho "UKWELI HAUFI"
Wadau Hii imekaaje?
Chanzo Mtanzania la leo.
BUKOMBE- Viongozi wa ACT-WAZALENDO, Wametolewa "Nduki" Jukwaani na Wananchi baada ya kutuhumiwa kuwa ni Vibaraka wa CCM.
Tukio hilo limetokea juzi kwenye Mkutano wa hadhara ulioitishwa na Viongozi wa Chama hicho katika uwanja wa Kilimahewa Mkoani Geita.
Chanzo Mwananchi tokeo la leo,Ukurasa wa...
Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini, Mh. Philemon Ndesamburo, Ametangaza rasmi kutowania tena nafasi hyo.
Ameyasema hayo Muda huu katika Mkutano wa Hadhara, Na kutangaza kuwa atamuunga Mkono Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Ndugu, Jaffary Michael kutwaa Jimbo hilo.
======================
Chanzo...
Wakuu ule Mwendelezo wa Wafanyabiashara Nchini kugomea Mashine za utoaji risiti EFD,Leo Unafanyika katika Mji wa Moshi.Pia wanataka Kesi iliyofunguliwa dhidi ya Mwenyekiti wao Taifa ifutwe.
Tokea Asubuhi Maduka hayajafunguliwa Mpaka Muda Huu Tofauti na siku Nyingine.
Kuna Taarifa Za Mikoa...
Wakuu wakati Zitto akitua Mkoani Kigoma Muda huu Mbunge wa Viti Maalum CUF,Na ambye Ni Naibu katibu Mkuu wa CUF-Bara Mh.Magdalena Sakaya Ni Mmojawapo ya Wanamsafara waliopo na Zitto.
Katibu Mkuu wa Chama chenye Mgogoro wakugombani Madaraka,ACT Samsoni Mwigamba,Amesema wameukataa ushauri wa Msajili wa Vyama vya Siasa uliowataka kuendelea kuwa chini ya Uongozi wa Mwenyekiti wao Kadawi Limbu.
Mwigamba amesema tayari wamemuandikia barua msajili ya kukataa Ushauri huo na...
Padri kutoka Hong kong aliyekuja Nchini kuhimiza kampeni ya kuwazuia Vijana kuacha kusafirisha dawa za kulevya katika Majimbo ya China ya Guangzhou, Macau na Hong kong, Amesema kukutana kwake na Dr.Slaa ni sawa nakukutana na kiongozi kama Mandela au Nyerere.
Alisema hayo alivyokaribishwa...
Mahakama ya Afrika iliyoko Jijini Arusha imeimuru Serikali ya Tanzania kuanzisha mchakato wa kisheria utakaoruhusu kuwapo mgombea binafsi katika nafasi mbalimbali za uchaguzi katika kipindi kisichozidi miezi sita.Hukumu hyo imesomwa leo mkoani Arusha na Jaji wa mahakama hyo.
Mbunge wa OLE SENDEKA ameendeleza unafki wa wabunge wa CCM baada yakusema kuwa hoja yake yakutaka kuundwa kwa Kamati teule ya Bunge baada ya Maelezo ya Waziri Mkuu,Huu ni mwendelezo wa unafki kwa kuwa hamna cha msingi ambcho PINDA amekisema kuhusiana na ESCROW ACCOUNT,
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema haina budi sasa Kanuni za bunge zirekebishwe ili kuepuka Wabunge kutoka Nje ameyasema muda huu.
===========================================
Waziri kivuli wa wizara ya Mali asili na utalii Mh.Peter Msigwa na Mwenyekiti wa kamati ya malia asili Mh.James Lembeli wanahojiwa katika studio za TBC1 kwa sasa.
Katika kile ambcho ni kielelezo cha vitendo vya ubadhirifu na ufisadi wa Mali za umma kushika hatamu ndani ya Taifa,Manispaa ya Kinondoni imeingia katika kashfa ya kununua madawati mia tatu kwa shilingi milioni mia tatu sawa sawa na kusema thamani ya Dawati moja ni shilingi milioni moja...
Dodoma. Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Ezekia Wenje amewasilisha bungeni kusudio la kupeleka muswada wa kukataza na kudhibiti vitendo vya ushoga nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mara baada ya kukabidhi kusudio hilo kwenye ofisi za Bunge, alisema amewasilisha kwa mujibu wa Kanuni...
Wanabodi uchaguzi mdogo katika Jimbo la Chalinze umetangazwa na mchakato kwenye vyama vya Siasa unatarajiwa kuanza rasmi.Kwa kuwa Chadema wamepata nguvu kubwa ya ushawishi katika Jimbo hilo,Je Ni nani mnadhani atakuwa mgombea wa chadema?
Katika gazeti la Jamhuri toleo la leo Jumanne wameweka makala ya mahojiano yao na anayetajwa kuwa Jambazi mstaafu Mohameid Malele aliyeamua kuachana na kazi hyo.
Malele ananukuliwa kwenye toleo hilo akmtaja Mbunge mmoja na Diwani mmoja kuwa ni mojawapo wa washirika wa matukio ya kihalifu...
Mwanasheria wa Chadema nyanda za juu kusini wakili msomi Kamanda Lukas Sankara ameshinda kura za maoni zakuwania tiketi ya kuwania kiti cha ubunge kwa tiketi ya CHADEMA katika Jimbo la Kalenga baada ya kuwashinda wenzake 12 jioni ya leo.
=========================
Habari zaidi na Picha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.