sasa naona wanataka kumchafua lowasa kwa kumsafisha Jk. Ni kitu kibaya sana kumtuhumu lowassa katika machafu yanayoendelea katika nchi yetu. Wakulaumiwa ni swaiba yake ambaye anataka kujishafisha kupitia Lowassa.
ufadhili mbaya sana humnyima hata mtu kusema kile moyo wake unapaswa kusema. Usiongee kwa kushurutishwa kwani ipo siku damu za wenye haki zitadai na wewe utakuwa mmoja wapo watakao daiwa. Stay tune.
mtu mnafiki utamtambua kwa maneno yake. Kwanini tunatamka maneno ya ulaghai kwa wengine kwa maslah yako na familia yako. Ifikie wakati tubadilike ni matumbo gani hayo yasio shiba. Au matumbo yenu yanamatundu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.