Sasa kati ya CCM na CHADEMA nani wana operation Sangara. Na sangara tunajua ni samaki kama usemayo ni kweli basi sisi Chadema tunatumia njia ya maji kuwafanya wananchi wawe chakula cha wanyama waishio majini. Acha kutuhaibisha wenzako bwana Episodes
hapo Chadema Tunausika na tumeonyesha sio wastaarabu kiasi gani. Leo TBC walikuwa wanamuonyesha sana Mh. Mnyika wakati Mh. Mwigullu nchemba anawasilisha madai yake sasa cjui ni nani anahusika ndani ya chama chetu na anataka kutuharibia Mwenendo wa operesheni sangara yetu.
Nategemea leo kwenye bajeti ya muungano mhe. lissu ataendelea kuwachana mawhite wale wadau wanaoutetea muungano wenye faida upande mmoja.
Alichosema :
MAONI YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO),
MHESHIMIWA TUNDU A.M. LISSU (MB.)
KUHUSU
MPANGO...
anatafuta umaarufu jamii forum kwa kutukana na domo chafu. huyu ndiye anayetuzalilisha chadema na kutufanya chama kiwe cha kihuni. jenga hoja sio matusi
napenda sana tunavyojenga hoja wanajf but ukimuongelea sana m2 unampa umaarufu. wao wamerusha mawe wamesikia kelele wanajua yametupata. let us not finish our time sharing stupid facts
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.