Huyo kasemea Bungeni kwa sababu ana Kinga. Hoja hiyo hawezi kuiongelea nje ya Bunge. Angeitisha Press Conference halafu akaongea hiyo hoja hapo ningemuona wa maana. Kinachoendelea Bungeni ni Maigizo tu ili kuwahadaa Watz kwamba Wapinzani sio muhimu hata Wabunge wa CCM wanaweza kuikosoa Serikali.
Hivi
Hivi unaelewa ulichoandika? Hiyo Silaha ilitakiwa ifanyiwa Finger Print ili kubaini mmiliki wa hiyo Silaha Kama kweli ni Adamoo. Uchunguzi wa Finger Print haukufanyika. Sasa huyo unayesema atakuja kuilink hiyo Silaha na Adamoo atatumia njia gani ?
Habari zenu wana jukwaa. Ni matumaini yangu weekend imeenda vizuri kwetu sote. Kwa wale ambao weekend haikuwa nzuri kwao kutokana na matatizo ya kiafya basi nawaombea Dua Mungu awaponye.
Nirudi kwenye mada yetu kama inavyojieleza hapo juu.
Nianze kwa kusema kuwa nimekuwa nikikutana na hoja...
Kuna watu ninaowajua walifahamiana kupitia ukurasa huu huu kisha wakafunga pingu za maisha na mpaka sasa hivi wana watoto watatu. Maisha yao yapo safi tu. Mke mwema anapatikana popote pale. Kuna watu wamewapata wake zao katika nyumba za Ibada lakini hawakuweza kudumu katika ndoa zao hata mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.