mpemba na Ustadhi Ilunga nani mchochezi?polisi bwana wanafanya kazi kwa kuogopa watu,sasa wanafanya kazi ili kuridhisha baadhi ya watu.
hapa mmoja anasema polisi akikamata / kuuwa sheikh wewe nenda kamata padr/kadinali/askofu /mchungaji ua,
Mwingine anawambia waumini wake kuchinja myama wako...
ukimtaja Nyerere wakakusikia hao wanaosema kawakandamiza atakwambia una mfumo kristo,wewe haya ,manake kunawatu wameisha jiandaa kuimalizia hii amani ndogo iliyopo kwa kisingizio walionewa sana.
watu wengine ubongo wao umeoza kwa udini, yaani mtu analalamika katoa pesa yake kanywa uchafu, mwingine anakuja kuleta sababu za udini,mijitu mingine bwana sijui ina kuwaga vipi?hii ndiyo kila watoto wao wakifeli shule inasema wameonewa ata kama watoto hamna kitu kichwani
Duh voda ata mimi nimeliwa buku 2,bila ata kupiga simu zaidi ya kutuma msg moja, na hii ni mara ya pili sema tu naondoka tz ila nikirudi nadhani nitawahama hawa jamaa.
Polisi ya double standard hii, kwani lwakatatare nani alienda kureport? siwameipata kwenye U tube tu wakatekeleza, sasa kwanini zingine mpaka watu wakatoe taarifa police ndio washughulikiwe?
Mungu amtie nguvu kwenye shughuli zake za kitume,asa kipindi hiki ambapo kanisa lia majaribu mengi,waswahili tunasema mti wenye matunda ndio unapigwa mawe,so hatushangai watu mbali mbali na vyombo vingi vya habari vikiwa vinatafuta habari negative za ukatoriki na papa.
Wameona kila wakienda bungeni wapinzani wanawatoa jasho na kujichukulia point muhimu, so ili kuficha aibu inabidi wasitishe kurusha vipindi live, kingine ni kuficha aibu ya waziri mkubwa, uwa akibanwa maswali vizuri anabakia kutoa chozi so wanamsitiri mkuru.
Pia madamu thenkyuu veri machi na...
Hivi Nyerere angekuwa mdini, angemuachia nchi "mchungaji" Hassan mwinyi kweli kile kiti?
Tazizo kuna watu wao wanatizama kila jambo kwa macho ya ubaguzi wa udini tu, wewe kama haupo nao imani moja ata ufanyeje hautakubarika machoni kwao.
Hivi tukijadili hii Mada kama UAMSHO wanavyotaka kuijadili kwa sababu ya udini hatuta kubaliana, tutaishia kutukanana na kashfa tu,
Tuyaangalie haya mataifa mawili bila kuingiza udini.
Obama ndio aliwatuma Hamas waanze vita? Wacha wanyooshwe kwanza hao palestina ndio wajue waarabu wenzao wanawadanganya tu ila kwenye shida hawawasaidii,
Waarabu ndio wanawapa kiburi HAMASI
Funguka mzee usomeke
Mimi naona mtoa mada yuko sahihi sababu msimamo wa Democratic upo clear kuwa no war, but Republican Romney alisema kabisaa wazi , lazima angetia majeshi Syria na Iran, kama ulikuwa unafuatila vizuri zile debates
Lakini week chache zlizo pita wananchi wa Iran walikuwa wanalia kuwa khali ya uchumi siyo nzuri, na pia kushuka kwa thamani ya pesa yao dhidi ya USA dollar,so bidhaa na uduma zimepanda bei gafla zaidi ya 50%
Pili kabla ya USA election, Aljazeera walionyesha maonyesho ya ndege, manwari na meli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.