Tokea imetungwa sheria ya mtandao,JF GREATEST THINKERS wameamua kukaa kimya,lasivyo tungeshapata majibu na mbinu za kuwadhibiti hao jamaa siku nyingi sana hapa.
Ndo mlileta kauli hizo nchi ikaoza,mtu binafsi akashitaki ukwepaji wa kodi?mpe vyombo vya ulinzi na usalama ili akusanye taarifa zote.usiongee kama nchi ni mali yenu peke yenu.
Asiposema tutajuaje mlengo wa serikali yake?au aanzenze kuwaita watendaji wa serikali mmoja mmoja kuwaeleza kuwa hataki safari za nje?Magufuli yupo sahihi sana.
Ili uwe mwanasheria mzuri,inabidi ujue hivi vyama vina ngazi ya tawi,shina,kata,wilaya,mkoa,kanda hadi taifa.Na unapoanza kutuhumu au kutetea jiridhishe kuwa unatetea au kutuhumu ngazi ipi.Sisi tusio na elimu tunawategemea sana nyie mliosoma mchambue vizuri tuelewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.