Wacha watu wakushauri lakini wasikuamulie. Mapenzi huisha yakabaki mazoea kwa hivyo huyu joe anataka mapenzi na maskini hajui kuyalea. Kama huja zaa naye mtoto chunga asikupe ulezi alafu akutimue alafu alete visababu vyakua we ni catholic naye ni muABC
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.