Lazima tutamtaja kwani ndo lilikuwa chaguo letu wananchi ispokuwa ni mifumo ya wanaojiita wamiliki halali na ndyo wenye hati miliki ya Tanzania ila mwisho wao utafika.
Kugoma kulipa cod itakuwa ni vigumu mana ukigoma kulipa ukieka vocha yako ikilabwa utakuwa umegoma nini? Mi naona mpango wao wa kusajiri cm ilikuwa ku2komoa watanzani ili wajue nani kalipa nani hajalipa na siyo kwa lengo la uhalimfu ukitokea mlengwa akamatwe kwa urahisi, sawa kodi 2talipa sa...
jamani pamoja na kuchomewa pikipiki ya chadema na kumjerui mgombea wa chadema katika kata ya minepa lakini bado mungu hajatutenga, tumeweza kupata ushindi wa kishindo katika kata Ifakara ambapo CCM wamepata kura 3743 na chadema kupata kura 4373 hivyo ni jambo la kumshukuru M/mungu wanaifakara...
Jamani wanajamvi, ccm naona wameamua kutumia njia hii ya kutoyatoa majina yote ya wapiga kura kwa kila kituo cha kujiandikishia, je huu ni uungwana?
Ukiangalia watu wengi wameondoka bila kupiga kura na vitambulisho vyao vinajieleza ila jina hakuna, wale waongozaji wakiulizwa kwanini jina langu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.