Oh! Kaka Maege, ulipotelea wapi ndugu? Nimefurahi sana kuona uzi wako leo. Uliacha historia kwenye uzi fulani wa mwaka jana. Sidhani kama kuna mtu kaivunja historia ile.
Sina updates za uzi wa leo ila JF ni kila kitu. Majibu yatapatikana. Ahsante.
Si busara kutoa jibu kama hili ukizingatia mtoa mada amejieleza vizuri na yuko serious.
Mtoa mada usikatishwe tamaa na watu kama hawa, kazi utapata na naunga mkono ushauri wa mchangiaji wa kwanza. Kila la kheri ndugu yangu, Mungu akutangulie.
Dada yangu Jamii Forums ina watu wa kila aina:- Wazito, wasomi na wasio wasomi.
Lugha ya kihuni unayotumia inaweza kukukosesha msaada unaohitaji.
Mfano kwa Waziri au Mkurugenzi atakayeona uzi huu hata kama alikuwa na nia ya kukusaidia anaweza kutofanya hivyo kutoka na Lugha ya dharau...
Kuweni makini vijana. Hizi nafasi wanazotangaza kabla ya mradi kuanza mara nyingi zinakuwaga changa la macho.
Mnazikumbuka zile za mwez wa nne za Bukombe? Nazo ilikuwa hiv hiv.
Fanya application ila wakikuomba hela usithubutu. All da best.
Andika vizuri heading yako ili wadau wakipita wajue unataka nini na watakusaidia. Ila kwa kuandika heading yenye utata kama hivi unaweza kukosa msaada. Al da best.
Aiseee! Mwenyewe nimekuwa nikipitia comments zake nyingi hapa JF na nilijua ni m2 aliyeajiriwa tena post kubwa sana hapa TZ, Kumbe naye bado ni mlamba nyayo.
Pole sana ndug ila utapata.
ni hayo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.