Nchi imegawanyika! Ukiliangalia tamko la hivi
karibuni la waziri wa elimu na ukiwasikiliza
baadhi ya wadau, utadhani kuwa waziri
katangaza uamuzi wa haraka unaominya haki ya
elimu kwa watu wa nchi hii.
Lakini kwa wengine huu ni uamuzi sahihi. Kwetu
sie ambao tunaujua mfumo wa elimu na matunda
ya...
Wakuu, salaam.
Nina shahada ya kwanza Elimu ya pili katika HR. lakini maishani nimetamani kuwa lawyer ingawa sikufanikisha kutokana na circumstances anuai.
Naomba mnijuze kama nikifanya postgraduate diploma(PGDL) mfano hapo out ndoto yangu inaweza kutimia? Ama mnanishauri nifanyeje.
Akihutubia katika maadhimisho ya miaka 36 ya CCM Mwenyekiti wa CCM amewaeleza wazi wana CCM kuwa UPINZANI Tanzania unaimarika kwa kasi na hivyo ni lazima wana CCM wajipange kupata vyanzo vingine vya mapato; Hapa kaona ukweli kuwa 2015 watapoteza sana, na idadi ya wabunge wao itapungua na hivyo...
Kwa wana jamvi mliopo Arusha mjini, kama kuna mwenye taarifa kamili na ratiba ya hii tume ya kukusanya maoni ya katiba tafadhali atuwekee hapa. Nimejaribu kupitia mbao za matangazo sijaona chochote.
WanaJF.
Nipo kando ya TV ninafuatilia majadiliano bungeni. Ninaona waheshimiwa kadhaa wananadai nchi hii itaendelea iwapo Kiswahili kitaenziwa. Ninatambua umuhimu wa lugha kama chombo cha mawasiliano na nionavyo hapa Tanzania hatuna tatizo la uelewa wa Kiswahili. Pia sheria, vitabu vya...
Finally the Parliament has passed the 2012/13 budget with almost all CCM MPs voting in fevour of the financial bill.
In fact these are the results as announced by the Hon. Madam Speaker.
Votes
YES - 225
NO - 72
ABSENT - 54
-----------------------------------------------------...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.