Search results

  1. M

    UKAWA na CCM pamoja

    Magu-fool amepachikwa na mafia Wa jeshi na polisisyemu, fulustopu. H?ta yeye analijua hilo, huyu kiumbe si kiongozi hebu ona mambo ya aibu anayofanya, nilidhani baada ha mapushapu atajorudi kumbe kichwani hamna kitu. Anaiaibisha institution ha presidency. Hivi rais Wa kweli anaweza kutoka...
  2. M

    Magufuli hatambuliki E.A.C?

    Wewe lubiziba, kyende za mamako zilikauka kama jowe wakati ukizaliwa. Uchu na tamaa sa madaraka zimewafanya kikwete na genre lake la wizi kuipindua Tanzania. Utasherehekeaje kuapizwa rais Wa kuchongwa Wa plastiki maguu-fool?
  3. M

    Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru: Kuapishwa kwa Dr. Pombe Magufuli kuwa Rais wa Tanzania

    Ukawa imeshinda, ila inchi ilipinduliwa. Hivi vyama vya siasa (JWTZ, NEC, na mapoliccm) vimepindua nchi kwa kubania matokeo kwa siku ne wakiyachakachua. Hii hata mtoto mdogo anajua, na habari ndiyo hiyo. Jamaa hawajiamini, hebu angalia jinsi walivyomwaga askari na mashushushu mitaani yaan...
  4. M

    CCM imepata adhabu mkoa wa Kilimanjaro!

    Bora kura za ukabila ambazo ni HALALI kuliko kura za maguu-foolish za WIZI.
  5. M

    CHADEMA waanza kumkumbuka Dr Slaa

    Mapunduzi yaliyopangwa na Kiwete yanaendelea kushika kasi. Ichaguzi ilikuwa kiinimacho tu, mabomu ma silaha za moto nje nje.
  6. M

    Uko wapi Dk Wilbroad Slaa? Njoo ushuhudie anguko la Mafisadi

    Duh! Wewe ni mgumu sana kuelewa. Mwenzio anamaanisha Lowassa apigwe two terms za urais pale ikulu. Au we ni gamba?
  7. M

    Kesho narudisha rasmi kadi ya CCM

    Sadda Hussein wa Libya, ... NOO ni wa Kuwait!
  8. M

    Soma hapa ujue kwanini wananchi wanataka kuiadhibu CCM jumapili

    I have no word to the thread author other than 'bravo'
  9. M

    Kumekucha! Siku tatu kabla ya uchaguzi, Polisi wa Tanzania waanza kutembeza kipigo kwa Wapinzani

    Kweli kabisa, hospitali za S.Africa wanatumia bed sheets zenye label ya MSD. Tena wasauzi wanavaa T-Shirts zilizoandikwa Twiga. Mungu aliwaumba malofa TZ, policcm watazitwaa roho zao, jina lake lihimidiwe.
  10. M

    Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

    Magamba wamepanga kuanzisha fujo tayari, hilo liko wazi. Wana mchecheto wa kushindwa, wameanzisha maandamano bila kibali cha policcm Moshi bila kuchukuliwa hatua zozote. Wameshashindwa hao, Laigwanan amekomaa na UKAWA, hawaamini kile wakionacho.
  11. M

    Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

    Mkuu wa kaya, kwa hofu kuu aliyonayo ya vichinjio, alishatangaza state of emergency. Jeshi liko stand-by, tayari kuua wananchi walioichoka magamba na wameamua kuchagua MABADILIKO. Sio mbaya, kwani Mungu aliumba na majeshi/policcm watatwaa roho za wananchi, jina lake lihimidiwe.
  12. M

    Maandamano ya CCM Moshi Mjini

    Ingekuwa maandamano yamefanywa na UKAWA, hivi sasa tungekuwa tunahesabu wafu na majeruhi. Hawa ni walewale walikuwa wakisema maandamano ni kupoteza muda. Wamegeuka kuwa wapinzani sasa.
  13. M

    Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

    Nyinyi magamba acheni upuuzi wenu. Wapenzi wa UKAWA wakienda kumpokea LOWASSA airport mnawapiga mabomu, eti wanasababisha foleni barabarani. Mjinga wenu maguu-fool anasimamisha gari katikati ya barabara na kuanza kutoa uharonwake kupitia mdomoni, hii nchi ni ya mamake?? Wacha azomewe...
  14. M

    Maandamano ya CCM Moshi Mjini

    Hiyo sera pia imeishiwa pumzi. Uamuzi uko paaalepaaaleee. Kura kwa Lowassa
  15. M

    POLISI na mazoezi ya mabomu karibu na makazi ya watu

    Hao magamba ni ikio la kufa. Wacha tu wafanye hizo tizi, zitawarudibwao kwa kuwa hawana malengo poa. Walianza kutisha wananchi kwa kurusha ndege za kivita jijini Dar. Waliambiwa na wakusikia, mzee God akatupia kaonyo kidogo kwa kuwatoabuhai wale marubani wawili waliokuwa wakijiandaa kutwaa...
  16. M

    Operesheni Zinduka 14 - Alipo Hatupo, Tuliko Hayupo - Wasikilize na Waone Hawa

    Heh hee, rpg umetupia ka-RPG (rocket propelled grenade), yaani kaguruneti. Roho yangu imesuuzika sana.
  17. M

    Operesheni Zinduka 14 - Alipo Hatupo, Tuliko Hayupo - Wasikilize na Waone Hawa

    Hii ndiyo ilani/sera za magamba? Inapendeza jinsi mnavyochukulia umuhimu kila asemacho na kufanya huyu mkombozi LOWASSA. Hakika mmemsaidia sana bila kujielewa, nasi wana mabadiliko tunawashukuru na kuwapa pongezi. Mmeishiwa pumzi za kuongoza na kuleta maendeleo nchini Mmeishiwa pumzi...
  18. M

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Wewe ulifeli mitihani, huo uwezo wa kuhoji majibu ya rais mtarajiwa umeutoa wapi? Kweli kipaumbele ni ELIMU. Kwa kuwa hayo majibu ya LOWASSA umeyaelewa kwa akili zilezile zilizokufelisha mitihani yako. Mlikuwa wengi darasani mkimsikiliza mwalimu mmoja, ila wewe ulielewa kushoto kabisa, na...
  19. M

    Magufuli kauli hizi (nikiwa Rais, haki ya MUNGU, wataona, nitawanyoosha) Sio za kiongozi

    Wacha hiyo vita ya kujitakia ianzishwe na magamba. Watakaobaki wataheshimiana. ALGERIA walipigana miaka ya '90s, na sasa waliobaki wameshikishana adabu - heshima iko. We have nothing to lose, ndiyo maana tuko tayari kuwachinja magamba 25/10. Wao wanahofu kwa kuwa kwa ubinafsi wao...
Back
Top Bottom