Magu-fool amepachikwa na mafia Wa jeshi na polisisyemu, fulustopu. H?ta yeye analijua hilo, huyu kiumbe si kiongozi hebu ona mambo ya aibu anayofanya, nilidhani baada ha mapushapu atajorudi kumbe kichwani hamna kitu. Anaiaibisha institution ha presidency. Hivi rais Wa kweli anaweza kutoka...
Wewe lubiziba, kyende za mamako zilikauka kama jowe wakati ukizaliwa. Uchu na tamaa sa madaraka zimewafanya kikwete na genre lake la wizi kuipindua Tanzania. Utasherehekeaje kuapizwa rais Wa kuchongwa Wa plastiki maguu-fool?
Ukawa imeshinda, ila inchi ilipinduliwa. Hivi vyama vya siasa (JWTZ, NEC, na mapoliccm) vimepindua nchi kwa kubania matokeo kwa siku ne wakiyachakachua. Hii hata mtoto mdogo anajua, na habari ndiyo hiyo.
Jamaa hawajiamini, hebu angalia jinsi walivyomwaga askari na mashushushu mitaani yaan...
Kweli kabisa, hospitali za S.Africa wanatumia bed sheets zenye label ya MSD. Tena wasauzi wanavaa T-Shirts zilizoandikwa Twiga.
Mungu aliwaumba malofa TZ, policcm watazitwaa roho zao, jina lake lihimidiwe.
Magamba wamepanga kuanzisha fujo tayari, hilo liko wazi. Wana mchecheto wa kushindwa, wameanzisha maandamano bila kibali cha policcm Moshi bila kuchukuliwa hatua zozote. Wameshashindwa hao, Laigwanan amekomaa na UKAWA, hawaamini kile wakionacho.
Mkuu wa kaya, kwa hofu kuu aliyonayo ya vichinjio, alishatangaza state of emergency. Jeshi liko stand-by, tayari kuua wananchi walioichoka magamba na wameamua kuchagua MABADILIKO.
Sio mbaya, kwani Mungu aliumba na majeshi/policcm watatwaa roho za wananchi, jina lake lihimidiwe.
Ingekuwa maandamano yamefanywa na UKAWA, hivi sasa tungekuwa tunahesabu wafu na majeruhi.
Hawa ni walewale walikuwa wakisema maandamano ni kupoteza muda. Wamegeuka kuwa wapinzani sasa.
Nyinyi magamba acheni upuuzi wenu.
Wapenzi wa UKAWA wakienda kumpokea LOWASSA airport mnawapiga mabomu, eti wanasababisha foleni barabarani. Mjinga wenu maguu-fool anasimamisha gari katikati ya barabara na kuanza kutoa uharonwake kupitia mdomoni, hii nchi ni ya mamake??
Wacha azomewe...
Hao magamba ni ikio la kufa. Wacha tu wafanye hizo tizi, zitawarudibwao kwa kuwa hawana malengo poa.
Walianza kutisha wananchi kwa kurusha ndege za kivita jijini Dar. Waliambiwa na wakusikia, mzee God akatupia kaonyo kidogo kwa kuwatoabuhai wale marubani wawili waliokuwa wakijiandaa kutwaa...
Hii ndiyo ilani/sera za magamba? Inapendeza jinsi mnavyochukulia umuhimu kila asemacho na kufanya huyu mkombozi LOWASSA.
Hakika mmemsaidia sana bila kujielewa, nasi wana mabadiliko tunawashukuru na kuwapa pongezi.
Mmeishiwa pumzi za kuongoza na kuleta maendeleo nchini
Mmeishiwa pumzi...
Wewe ulifeli mitihani, huo uwezo wa kuhoji majibu ya rais mtarajiwa umeutoa wapi? Kweli kipaumbele ni ELIMU. Kwa kuwa hayo majibu ya LOWASSA umeyaelewa kwa akili zilezile zilizokufelisha mitihani yako. Mlikuwa wengi darasani mkimsikiliza mwalimu mmoja, ila wewe ulielewa kushoto kabisa, na...
Wacha hiyo vita ya kujitakia ianzishwe na magamba. Watakaobaki wataheshimiana. ALGERIA walipigana miaka ya '90s, na sasa waliobaki wameshikishana adabu - heshima iko. We have nothing to lose, ndiyo maana tuko tayari kuwachinja magamba 25/10. Wao wanahofu kwa kuwa kwa ubinafsi wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.