Huyu anatafuta wafanyabiashara wa kuwapiga kama kina Mo na GSM wa Dar! Wana Arusha tunzeni akiba ya uvumilivu hili ni Jambazi lililoharibu legacy ya mwendazake!
Uzuri hata mahakama ikipewa maelekezo tutaelewa mengi sana kupitia mawakili wasomi wanaojielewa walio upande wa wananchi! Iende mahakamani na siye tuchangie Mwabukusi, Matata, Kibatala, Mallya na ikibidi babalao TAL ataingia uwanjani tuone jaji atakayeleta fyoko!
Hata kama ni kibaka si kuna vyombo vya dola vishughulike naye si ndio utawala wa sheria?
Kwa hiyo kumkamata mtuhumiwa, kumtesa, kumjeruhi na kumlawiti ndiyo uwajibishaji wa serikali yako???
Hayo yote hayapo kwenye katiba, yanatendwa na vibaka waliovamia dola wakijiita serikali!
Sasa tunayo kazi...
Ndugu zangu Watanzania,
Tusiache wala kukubali wala kukaa kimya wala kupuuzia wala kuona ni kawaida wala kusema haituhusu wala kuacha kulaani na kukemea mtu au watu au kikundi cha aina yoyote ile au chama chochote kile kikimtukana Rais wetu na kutumia lugha za kumdhalilisha Rais wetu. Rais wetu...
Kwa mwendo huu kuna imani inajengeka!
Kuwa Magu alikuwa anakula lakini na wachache au yeye mwenyewe
Kuwa Saa100 alimwonea wivu wakati wa upigaji kwa vile hakuruhusiwa kuiba
Kuwa Magu aliuawa na wauaji sasa ndio walioshika ofisi ya juu. Saa 100 achunguzwe kuhusu kifo cha Magu haiwezekani kuwa...
Anaelewa na amejitanabaisha kwa majina halisi yanayojulikana kote! Anajielewa na amepitia mengi! Wewe na kenge wenzio mliojificha kwenye zulia la DPW ndio wakutoa tafsiri kwa nini hamumwelewi!
Mungu yupi huyo anayelinda majambazi na wauaji? Kama ni huyu tunayemuabudu nina hakika amekupa wewe Makonda muda wa kutubu! Hata hapa ulipopelekwa ni fursa ya mwisho ya toba! Bila hivyo utakumbana na mkono wa chuma kama yule muovu aliyekutuma DSM
Walishaiba hawana cha kulipa!
Na bado wanafanyiwa figisu wakati wa malipo kama omba omba!
Mimi nasema hivi wacha wateseke/tuteseke sana na asiwepo wa kumsaidia mwenzake! Kwa hiyo kada ya kikokotoo ndiyo machawa na wanaosaidiaga kuiba kura shenzi type DIE SILENTLY shut up!
SOo what!!! Upumbavu mtupu hatishiki mtu tena! Risasi, mahabusu, kutekana, kubambikia kesi vyote vimeshindwa halafu unatuletea issue za manjagu wazazi wako? GO TO HELL
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.