Kaka Mimi nasafiri Na upepo wa mabadiliko,Na siwezi kushikilia Chama hata Kama kimepoteza dira sera za act zimefufua matumaini ya ukombozi,maisha Ni mabadiliko Ndugu yangu ulikuwa mchanga umekuwa kijana Na utakuwa Mzee Na utakufa kwa nini usibadilike kisiasa pia.
Katika hali inayoonesha watanzania wa Sasa hawategemei propaganda kufanya maamuzi,wananchi wa Wilaya ya Tunduru wamejitokeza kwa wingi kujiunga Na Chama cha ACT Wazalendo huku wakielezea Chama hicho Kama Tumaini Lao jipya Na kuachana na vyama ambavyo Kimsingi vimeshakuwa saccos za watu Fulani...
wadau si mara ya kwanza nimenunua simu ktk jukwaa hili na sijapata kujilaumu,
mara hii tena najitokeza kutaka mwenye nokia lumia 720 au 625 aniuzie.
Mwenye nayo ani text ktk
0763802014.
karibuni wadau mujipatie sofa zilizotengenezwa kwa mbao nzuri na kitambaa chenye ubora wa hali ya juu.
Pia tunapokea oda
Kwa maelezo zaidi
nicheki ktk 0754545163.
OFISI IKO KATIKA ENEO ZURI LA KIBIASHARA CHANG'OMBE,
ENEO LA OFISI LINA UKUBWA WA MITA ZA MRABA 61,
INA ENEO LA KUEGESHA MAGARI LENYE MITA ZA MRABA 74,
INA SEHEMU YA MAPOKEZI,CHUMBA MBILI ZA OFISI,A CORRIDOR WITH A KITCHEN,DIRECTOR'S TOILET&PUBLIC TOILET.
INA STORE ROOM MOJA,
INA VIYOYOZI...
kimsingi Adamu wala Hawa si mtu wa kwanza ktk hii dunia,adamu aliishi miaka elfu sita na ushee iliyopita,ilihali dunia ilikuwepo zaidi ya miaka elfu mia moja iliyopita.dhana ya adamu kuwa mtu wa kwanza ni matokeo ya uelewa finyu wa mafundisho ya biblia na quran.biblia inasema adamu alimzaa kaini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.