Rais wetu amesema vema sana kwamba haya magari yanayotumiwa na mashirika yanayohudumia wakimbizi yakimaliza shughuli zao yasiuzwe Bali zipewe Halmashauri husika,rais akapiga pin magari yaliyotarajiwa kuuzwa mwishoni mwa mwaka jana. Sasa wamekuja na mbinu ya kukodi magari ya watu binafsi ili...
Naomba niwambie jambo moja ambalo pengine miongoni mwenu wapo wanaofahamu na wengine labda hawajui. Mimi nafanya kazi kama Afisa tarafa huku kasulu,na kambi ya wakimbizi ya nyarugusu ipo ndani ya tarafa yangu.Kwa mazingira haya na nafasi hii napata kukutana na wazungu wengi wa mashirika...
Ukweli ni kwamba sijawahi mwamini huyu mwinjilisti. Imani yangu kwake ilitoka pale alipokuwa anamshauri Rais magufuli kuwa ajitoe ndani ya ccm na urais wake na kujiunga na chama kingine. Angewezaje kkuvua uanachama na kubaki na urais?
Lakini pia katika hili sakata lake na mh.makonda,mara ya...
Jamani usiku wa kuamkia leo nimeota kuwa pinda amefika ofisini kwangu,tukaanza kuongelea habari za katiba. Tukabishana sana kuhusu mjadala wa katiba ulivyohodhiwa na ccm. Mwisho akaniambia hawezi kuendelea kubishana na mtumishi wa umma mwenye mlengo wa upinzani. Nakumbuka nilimwambia kuwa...
Awe Wassira au machali kama anahamasisha watu walime hifadhi kwa manufaa yake kisiasa ni upumbavu tu. Kwa suala hili hakuna cha ccm,cdm wala nccr. Umuhimu wa hifadhi unaeleweka. Kama wewe ni mkazi wa kasulu ukasikia watu wa ksl wanalima hifadhi utashangaa, hatujafikia huko. Ardhi iko tele...
Unajua bwana mangatara ushabiki huu wa kisiasa ukiendekezwa sana una hatari ya kuziba mianya ya ukweli. Umuhimu wa hifadhi unafahamika,hata kwa watu wa kawaida tu,nashangaa machali hajui au anajiondoa uelewa kwa manufaa yake kisiasa. Kasulu haina uhaba wa ardhi hata kidogo, eneo lilitumika...
We ni bure kweli, yaani kuomba eneo la hifadhi liongezwe anaomba kwenye mkutano wa hadhara,? Mkutano huo una uwezo wa ku-extend eneo la Makazi kwenda hifadhini? Hata kama umehudhuriwa na naibu waziri. Wewe na machali hamjui kama hifadhi ipo kwa mujibu wa sheria? Na sheria zinatengenezwa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.