Kwa wenzetu likitokea tukio kama hutumia njia zote ili kujenga mazingira ya kuzuia matukio ya namna hiyo, sisi kwetu matukio yanafukiwa kanakwamba hayakutokea. Acheni watu walioguswa waseme itasaidia kupata ufumbuzi wa tatizo hilo
Naona ishakuwa WW3 ......mi sio mtu wa namna yako. Aliyetangaza papucci inamlipa kama saccoss na baadae anakasirika kuhalalisha. N'way nina mradi wa ujenzi wa casino ya kisasa nitaomba uwe meneja wa mradi, ni ombi tu na ukiridhia ni pm.
hiyo ni kwa mawasilianoo tu yaani ukisikia fyuuu ama druuuu basi ujue mtu kashiba.
Unajua sipendi biashara holela unayofanya ni vema tukaunda saccoss kwa hicho kipochi manyoya chako kwani huna hiyana. Mi dalali na ukipata wenzako nawashauri muunde chama na napendekeza kiitwe CHAWAKU (chama cha...
Mimi nilikutana nayo mhusika akiwa na miaka 32. Baadae nikajashtuka ana motto mkubwa, sijui mtoto alimjamba ama aliingilia wapi???? Kuna ku-overhaul machine
Simu ni private, lakini kwa wapendanao hakuna haja ya kuficha ama kuwekeana mipaka. Ila kama inawezekana si vizuri kuchukua simu ya mwenzio kwa ajili ya kuichunguza. Uaminifu katika mapenzi ni jambo jema sana inapendeza kila mmoja kuwa kwa mwenzake badala ya kuwa na mashaka. mashaka huletwa na...
Bebii nambie. Ni mm peke yangu najua ila usisahau w'end hii tutakuwa California Dreamer. Uje na yule shogaako anayechanganya bia. Huwa sichoki kukaa nae
mimi dalali tu aka kuwadi mkuu. Hakuna mtu kupata papucci mpaka awe amelipa dola. Inabidi kuweka viwango vizuri ili tutengeneze pesa nzuri. Hii inatakiwa ifunguliwe mapema kabla ya serikali kulasimisha biashara na kututaka tulipe kodi. Wakati serikali inashtuka sisi tulishazichanga za kutosha na...
Hilo la kuwa na boy wake mmoja nina mashaka nalo!!!! uwe na boy mmoja afu ukiitwa na mwanamme yeyote yule unaitika na katika mazingira yoyote. Iwe hotel ataenda, iwe barabarani ataenda ilimradi anajua jamaa ana change
Uzuri ni kama maua, kuna muda wa kuchanua na muda wa kufifia, ngoma ikipigwa saaana mwisho tobo kubwa hutokea. Thamani kubwa ya mwanadamu ni pamoja na heshima ya mwili wake. Miss Chawote ni jamvi la wageni,
unakula kasha unafuta mdomo. usitake kujipaka michuzi. hakuna papuchi ya mrembo wala ya...
Natamani kukujua ili niwe wakala wa hiyo papucci yako. Nikiwa dalali nitatengeneza pesa za kutosha na wewe utakuwa bilionea kuliko hata Bakhresa kwani nitakuuza kimataifa. Ni pm nikupe dili
Asante kwa maombi yako nami naamini katika sala. Sikuwahi kuwa zoba katika mapenzi ila hili limenifunza kitu flani. Siku zoote nilikuwa naamini kuwa watu huwa wanaachwa kwa kutowajali wapenzi wao kumbe mengine ni manungayembe tu, yako mjini ku-test ladha tofauti. Ukimuona usoni utadhani...
Kuna mdada mmoja nimezoena nae kwa mwaka sasa na tumekuwa na mawasiliano ya karibu sana.
Sikuwa namjua dada huyo ila baada ya kufika kazini kwake na kuhudumiwa nilijikuta navutiwa kuwa nae karibu. Siku moja nilifika kazini kwake na kumuomba namba ya simu ambapo alinipa. Baadae nilimpigia...
Hii kitu inanikumbusha machungu ya uchaguzi wa 2010. Nilisafiri kutoka Arusha kwenda dar kuwahi kituo changu cha uchaguzi nikaishia kulizwa na matokeo ya jumla. Ila hii kitu ilinifanya nicheke nikiwa mwenyewe chumbani.
Thanks Mentor
Ni full matatizo watu wa mitandao ya kijamii. Alinificha id yake ya fb ili tusiwe na marafiki huko eti kisa mimi niko naye chumba kimoja wakati kila mmoja ana kazi yake na mara nyingi tunaonana wikendi tuu. Ghafla nataka 1.5mil, sijui za nini?? Ukiomba maelezo hupewi. Aende mwana kwenda na wala...
Miss Kim
Sielewei hii kitu na hawa watu huwa wanafanya wakifikilia nini?? Mwanznoni mwa mwaka huu nilifanikiwa kupata mpenzi mmoja ambaye nilitokea kumpenda kwa dhati. Huyu binti alikuwa na mpenzi wake ambaye alikuwa katimka kusikojulikana na baada ya jitihada za kumtafuta kukwama ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.