Search results

  1. Kibunago

    Hujuma kwa mstakabali wa Amani, Usalama na Maendeleo ya Taifa letu

    Smart ndio maana tunasema tukiondoa hizo HUJUMA tutakuwa tunaimarisha MFUMO
  2. Kibunago

    Spika Ndugai: Serikali wapeni watu nafasi ya kufanya mambo yao, msiwe front sana

    Je huwa kuna Kampeni ya 'More Speaker's breach of Parliamentary Standing Orders as well as violation of the Laws' ?????
  3. Kibunago

    Hujuma kwa mstakabali wa Amani, Usalama na Maendeleo ya Taifa letu

    TUJITEGEMEE karibu tuendelee kuchangia kwa maendeleo endelevu ya Watanzania
  4. Kibunago

    Bunge kuwa na Wabunge kinyume na matakwa ya Katiba. Je, ni Bunge halali Kisheria?

    1. Hapana SI HALALI . Ni kutokana na KUTOCHAGULIWA NA CHAMA CHAO KUINGIA BUNGENI kabla hata hujaongelea KUFUKUZWA! 2. Bunge NI HALALI ; lakini Vikao vya Bunge vinakuwa BATIRI maana vimejumuisha wasio Wajumbe halali! Mbaya zaidi ni kuwa tunaendelea kuwa na Bunge lenye SPIKA NA NAIBU WAKE...
  5. Kibunago

    Hujuma kwa mstakabali wa Amani, Usalama na Maendeleo ya Taifa letu

    Jmushi; asante ndg. yangu wewe unajua tunachosimamia!
  6. Kibunago

    Hujuma kwa mstakabali wa Amani, Usalama na Maendeleo ya Taifa letu

    Pole sana; Mawazo ya Kujisahihisha au Maendeleo ya nchi hayaletwi na TL tu. Ubashiri wako ni Mkeka uliochanika ; tandika mwingine.
  7. Kibunago

    Hujuma kwa mstakabali wa Amani, Usalama na Maendeleo ya Taifa letu

    Nakuhakikishia kuwa Rais akikubali kuunda Bunge Maalumu lenye Wabunge wachache makini kuwakilisha kila mkoa ataitendea haki Ofisi yake ya Urais na atakumbukwa milele . Nikifuatilia kwa umakini alivyoanza; naona uelekeo wake ni wa kutaka Amani na Ufanisi katika Serikali yake! Unajua Bunge letu...
  8. Kibunago

    Hujuma kwa mstakabali wa Amani, Usalama na Maendeleo ya Taifa letu

    Mimi ni Mwana CCM. Hali ilivyo sasa ni ya kutuletea FAIDA ya MUDA MFUPI. Wananchi wanapenda Ustawi ,Uhuru , Amani na Usawa. Ili tujihakikishie kuendelea kuwa na Wanachama KWA MUDA MREFU LAZIMA TUJISAHIHISHE. Mifano iko mingi. Hapo jirani zetu tu palikuwepo KANU isiyotaka mabadiliko chanya leo...
  9. Kibunago

    Hujuma kwa mstakabali wa Amani, Usalama na Maendeleo ya Taifa letu

    Ndiyo maana halisi ya kichwa cha habari; Ni vidonge vichungu lakini vikimezwa mwisho wake ni kupona kwa fAIDA ya Taifa zima na Watanzania wote. Katiba ikidadiliwa na Wabunge (wasio ndani ya Bunge sasa) wa Bunge MAALUMU INAWEZEKANA.
  10. Kibunago

    Hujuma kwa mstakabali wa Amani, Usalama na Maendeleo ya Taifa letu

    Kwa vile AMA Chombo husika hakijawajibika ipaswayo kwa mujibu wa Sheria iliyokiunda ya na. 15 ya 1996 hususan sehemu II Ibara ya 5 (1) (d) AU kwa Viongozi waliotangulia kutosikiliza/ tekeleza ushauri wao, leo nateremsha ushauri kwa kutaja mambo ambayo yanatafsirika kuwa HUJUMA (kwa kujua au...
  11. Kibunago

    Kura za uspika wa Bunge kuwa za wazi

    Wapige wazi au siri; kinachotakiwa ni kila mbunge kuwa huru na wabunge wachague kiongozi mwenye sufa zaidi ya wengine kwa ubora.
  12. Kibunago

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Ni ngumu kuhisi maana Rais ana washauri wake na vyombo vya Kiusalama vitawamulika candidates wote.Ia ungesema unashauri ateuliwe nani? Ba kupoteza muda nasema Profesa Sospita Muhongo ni serious business anayelandana na Mh. Rais
  13. Kibunago

    Asha Rose Migiro hajawahi kugombea ubunge jimboni wala viti maalum, yeye ni mtu wa kuteuliwa tu

    1. Nani kakwambia kuitwa mwanasiasa ni kugombea? 2. Hata kama kugombea ndio kigezo; sasa una mdanganya nani hapa wakati ni juzi tu kagombea katika Ofisi ya juu kulizo zote nchini na akawagalagaza watu kibao pengine ukiwemo na wewe. Kuna namna yingi sana za kuitwa mwanasiasa. Cha msingi ni...
  14. Kibunago

    Waziri wa elimu amuumbua Mbatia, awasilisha mtaala wa elimu nchini

    Kwanza unatakiwa ufahamu kwamba, kilichoundwa si kamati ya bunge bali timu ya uhakiki wa mitaala iliyowasilishwa. Whatever, muhtasari, mtaala au chapisho lililoanzishwa hapa duniani na mjuaji Maranya;tulichoshuhudia ni kuwa alichokiomba kwa kuweka rehani ubunge kimewasilishwa. Mbona ni kitu...
  15. Kibunago

    Waziri wa elimu amuumbua Mbatia, awasilisha mtaala wa elimu nchini

    Akiwakilisha hoja binafsi, Mbatia alisema endapo mihtasari rasmi ya elimu itawasilishwa yuko tayari kupoteza ubunge wake. Muda mfupi Waziri mwenye dhamana amewasilisha mihitasari Bungeni na Kamati ndogo imeundwa kuthibitisha uhalali wa nyaraka hizo. Je ikishatangazwa kuwa ni mihitasari...
  16. Kibunago

    Kama si jitihada za Pinda, nchi ingekuwa imeshaanguka!

    Badala yake tuseme: Kama isingekuwa WAZUSHI, NA WABAISHAJI WA KUTAFUTA UMAARUFU WA KISIASA NA MATUMBO YAO; nchi ingekuwa na maendeleo zadi ya tulipo.
  17. Kibunago

    Haki ukweli

    Niliposikiliza speech ya Rais ya mwisho wa mwezi ambayo hakika Aaliongea mengi ya maana sana na kisha wimbo wa Taifa ukasikika; maneno ‘hekima, umoja na amani hizi ni ngao zetu’ nilisikia kuugua sana moyoni. Nikajiuliza hivi kwa nini nisianzishe kitu chenye mfano kama wa HAKI ELIMU; HAKI ARDHI...
  18. Kibunago

    Gesi ya Mtwara na Rasilimali Nyingine: Maswali ya Msingi!

    We have got to be extra-careful with such a move! Hii ni nchi moja na kuna rasilimali kubwa ambazo lazima tuendelee kuziona na kukubali kuwa ni mali ya Taifa lote. Hivyo lazima nchi yote inufaike kwa hizo rasilimali vinginevyo tunapandikiziwa uhasama ambao ngumi zitaanza sasa hivi kati yetu...
Back
Top Bottom