nape, naamini bado kuwa wewe ni miongoni mwa wanasiasa wachache wenye uvumilivu na IQ ya juu kabisa ktka medali za siasa tuliokuwa nao TZ, lakini kitendo chako cha kutoweza kusoma alama za nyakati haswa wakati huu ambao cdm wanatumia madhaifu ya ccm kujiimarisha unanisikitisha sana. Na wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.