Naona JF wengine hawajui. Kwa taarifa yenu, tatizo la mipaka ni la siku nyingi. Sio kwamba limekuja kwa sababu ya kuchimba mafuta. Tanzania tunasema mpaka ni katikati ya ziwa, wakati Malawi inasema kufuatana na Berlin Conference 1890, mpaka ni ukingoni mwa ziwa upande wa TZ.
Safi sana mtaalam. Hiyo ndio maana halisi ya wa kudumu. Waulize pia wanaoshangaa kwa nini hawashangai kwa makatibu wakuu ambao ni "permanent secretaries"? mbona hawangojei kufa, wanahamishwa, kuachishwa au kustaafu muda unaostahili bila kungojea kifo. Tukushukuru kwa somo, maana hiyo ndiyo lugha...
Wanaoijua vema Taasisi hii na namna kiongozi wake alivyokuwa anawatumia wagonjwa wa Moyo, kama chambo cha kufanikisha mambo yake, Wataunga mkono saaana kufungwa kwake. Hata Hivyo ukifanya biashara ni lazima ulipie gharama zake, ikiwa pamoja na pango la nyumba! Hongera sana waliofanikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.