Ndio maana nasema mwanaume mwenye akili hawezi kuoa mwanamke used, huoa bikra, sasa vipi una mimba ya mtu mwingine halafu unaolewa nayo, huu ni upumbavu wa kiwango cha juu kabisa
kwa mujibu wa mafundisho ya uislam, mtu mwenye akili ni yule anayehesabu nafsi yake na kufanya matendo yatakayomfaa siku ya hukumu na mjinga ni yule anayefata matamanio ya nafsi yake na anamatarajio siku ya hukumu mbele ya Muumba atapata nafuu/hataadhibiwa,
Kama mjinga unayemzungumzia wewe ni...
Jamani kwa Mwanamke mwenye sifa hizi, Mweupe, asiwe mfupi, asiwe mwembamba sana, asiwe na miaka inayozidi 30, awe muislam, asiwe mwenye watoto, basi tuwasiliane inbox kama yupo tayari kuolewa, mie tayari nina wake wawili hivyo yeye atakuwa wa tatu.
HAHAHAHAAHAH UMENIFURAHISHA SANA, LAKINI SI UNAOA UNAEMPENDA NDUGU, NDIVYO MTUME S.A.W ALIVYOTUELEKEZA, MIE NAWAPENDA WANAWAKE WA KIPEMBA, HAWA WENGINE NIMESHAOA, NINA WANAWAKE WA KIBARA WAWILI HIVYO ANATAKIWA MPEMBA, THEN MWARABU, HAPO NIMEMALIZA
Kwa anayehitaji gari, nina Harrier namba D yenye cc 2190 Engine 5s rangi pearl, ipo Dar
Kwa anayehitaji anaweza wasiliana nami kwa namba 0628021221, picha zitatumwa kwa muhitaji tu, Tafadhali,
Kusaidia hakuna mipaka, wanawake wote wana shida kwa hiyo kuchagua eneo la kusiadia hakuna tatizo, hivi mtu akiamua kwenda kuwasaidia maskini wa mkoa wa Kigoma utamhoji kwa nini asiende mkoa wa Mbeya,
Hoja ni kuwasaidia sasa kwa nini kundi fulani si hoja ya msingi
Nahitaji mwanamke wa kipemba kwa ajili ya kuoa, mie tayari nipo kwenye ndoa hivyo nahitaji ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa ya wake wengi, sifa zake
Awe mweupe sio mweusi
Awe muislam metekelezaji
Awe na umri usiozidi miaka 30
Awe na elimu yoyote, lakini awe tayari kutofanya kazi...
Kupoteza hisia na mume wako kumesababishwa na wewe kutompenda, je huwa unapata hisia ya kufanya mapenzi ya mwanaume asiyekuwa mumeo, kama huna hisia hata kwa wanaume wengine basi una tatizo na hilo mara nyingi huwakuta wanawake waliokeketwa au wenye mashaitwani, sasa wewe utaangalia upo kundi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.