Na Dotto Bulendu
Naomba niandike andiko refu kidogo maana hamna namna.
Kwenye Masomo ya PUBLIC RELATIONS,JOURNALISM na PUBLIC RELATIONS,wanafunzi husoma topic inayoitwa BRANDING,hii ni Topic nzuri sana,binafsi niliipenda tangu nilipoisoma mara ya kwanza na hupenda sana kuifundisha hata...
Propesa aliwahi kulalamika popote kuwa haitambui kamati ya uongozi chini ya Twaha Taslima km Kaimu Mwenyekiti wa CUF!!!
Na Jee alipokuwa akitaka kutumia Ofisi Kuu Buguruni kwa kufanya Press alikuwa haombi ruhusa kwa Mwenyekiti Taslima?kama alikuwa akiomba ni kusema alikuwa anamtambua Twaha...
Kulikuwa na Kamati ya Uongozi chini ya mwenyekiti Twaha Taslima na ndio iliyosimamia uchaguzi!
Hata kabla ya kutokea hili ktk website ya Msajili walimtambua Twaha Taslima kuwa ni Mwenyekiti!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.