Poleni sn wana ilula kwa masahibu hayo,ila tuepuke kunywa pombe asubuhi kwani hamuna sababu ya msingi kunywa pombe asibihi ingawaje si halaliabisa polisi kuua raia wasio ma hatia
Wafute kwasababu wewe umesema au kwasababu wote wanafikiri kama wewe unavyofikiri,lete arguments za kwnini wafute,mf.wafute kwasababu usaili ulifanyika Dar tu bila kuhusisha mikoa mingine ya mbali km katavi,umeona hiyo hoja?
Give the devil his due, kwa usaili wa mkaguzi msaidizi uhamiaji walijitahidi kutenda haki kwa kiasi kikubwa na hata kama kulikuwa na kasoro basi ni za kibinadamu because no one is perfect under the sun and bias is inherent to humman being lakini kwa nafasi ya koplo na konstebo the process was...
Give the satan his due,kwa upande wa wakaguzi wasaidizi uchaguzi ulikuwa almost fair na ndo maana baada ya shortlist yao hakukuwa na malalamiko lakini baada ya kushortlist majina ya koplo na konstebo ndo malalamiko yakaanza kwa hiyo tuipongeze serikali kwa hilo na pale haki ilipotendeka tuache...
Deni ni zaidi ya trilion 30 lakini bado tunafikiria kukopa kwa matumizi ya kawaida km chai,maandazi,semina,warsha na safari za kwenda kuvinjari nje ya nchi,lkn wabunge wetu utasikia wanasema naunga hoja mkono 100%.This is tz my country
Watoto wa masikini wananyongwa kwasababu ya kukosa ajira lakini maboss waliowatuma wanadunda mtaani bila hata kutajwa,Mwenyezi Mungu azilaze mahali pema roho zao,inauma sn!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.