Waziri lazima awe mbunge ndo katiba inavyosema.Ndo maana Raisi akitaka kumteua mtu ambae siyo mbunge wa kuchaguliwa awe waziri Lazima amteue awe mbunge kwanza ndo amteue tena kuwa waziri.Sasa kama bunge limevunjwa ina maana hatuna wabunge na kama hatuna wabunge ni automatically hatupaswi kuwa...
Watu wengin hawaelewi.Pengo ni Asofu wa jimbo la Dar e Salaam kama walivyo maaskofu wengine kutoka majimbo megine kama skofu wa jimbo la Ruvuma au Mbeya n.k.So hana mamlaka ya kuwasemea wakristu au wakatoliki.
Nikama ambavyo Mkuu wa mkoa wa Dar e Salaam ambavyo hana mamlaka katika mkoa wa...
Usijitoe Ufahamu.Waliochukua mgao kupitia Stanbic wanafahamika.kama watu wasiokuwa na influence kubwa kenye hayaa malipo wamepata 400M,800 sijui 1.6B,Unadhani watu wenye influence kubwa wenye malipo haya kama Waziri husika,CAG, Governor wa BOT na Mkulu na Ofisi yake iliyoruhusu malipo watakuwa...
Serikali hii utafikiri kichwa cha mwendawazimu.
Hawa PCCB wanaojianya wanachunguza wanashindwaje kuchunguza na kubaini wakina nani walichuka ela Mabilioni ya pesa kwenye Lumbesa pale Stanbic bak.?Ni uchizi husio na kifani. Unaacha kuchunguza watu waliokwapua a lot of billions through Stanbic...
Haya magamba ni majinga kwelikweli.Ndo maana Muhongo alitaka kuja na utetezi wa kijinga eti Mkono amepata pesa nyingi kutokana kuisimamia Tanesco katika kesi yake na PTL.Utadhani ile ela TANESCO hawakuingia nae Mkataba ili kampuni yake ya uwakili isimamie kesi.Wajinga ndo waliwao,dili waingie...
Watanzania tumepumbazwa nasisi tunapumbazika.
Kwanini tusitake kujua Ela iliyolipwa kupitia stanbic Bank ililipwa kwa nani?
Mnasikiliza upumbavu kwamba waliopata mgao kupitia Mkombozi wamepelekewa gharama za kodi wanayodaiwa.
Kwanini Mwigulu hasiangaike kujua waliopata mgao kupitia Stanbic ni...
Hivi aya Ma CCM yana akili gani.yanatuharibia nchi hivihivi.Yani yako tayari kufanya chochote kukidhi haja zao.
Tatizo upole wetu nasisi unatucost sana.Mimi nina wasiwasi hawa waliopiga kura za hapana waziwazi kama wangepiga za siri zigechakachuliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.