nafikiri WAPO radio katika kipindi chake cha SAUTI TOKA NYIKANI saa 2 .30 usiku kutumia QURAN kama referrence kuhalalisha kile wanachokijadili.NAFIKIRI
mifumo ndio tatizo mfano amerika watu weusi 20% ndio wanaongoza kwakukosa elimu na 80% ya wafungwa magerezani ni watu weus
i.Rwanda watusi ni 20% lakini ndio waliopewa elimu na madaraka.Kenya wakikuyu..SOUTH Afrika wazungu nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.