Salaam.Ninatamani nikae kimya kwakuwa nilitoka salama lakini naona itakuwa ni dhambi maana kuna wengine wapo na wanaendelea kwenda.Dukuduku langu ni kuhusiana na namna mteja anavyohudumiwa na watumishi wanaoingia zamu za usiku katika kituo cha afya Pugu Kajiungeni.Hakuna kauli nzuri kuanzia kwa...
Kiukweli nikikumbuka mbinu ya kila mwanachuo wkt wa mitihani napingana na anayeamini Gpa kubwa ndo kufahamu mambo.Sitasahau siku niliyojikuta natumia karibu nusu saa namshangaa mwanadada alivojiandika mwilini anachofanya anahamishia kwenye karatasi ya majibu.Si haba kwa Gpa yake alikuwa mkufunzi...
Weeeeeee, 24 hrs kote huko.Ukisha sema yes tu kwenye mtongozo,Hawa wajamaa Ni Kama umemshika mtambo.Hiyo 24 labda wakati wa kukusomesha muwe mbalimbali.
Mtoto kaitwa kwa daktari ukaingia wewe! Kwamba mmefanana majina na mtoto au? Wewe ndo inaonesha uliutaka huo uancle lazima kichwa kikuume na sijui Kama utapona.Hakuna maelezo ikiwa nawewe baadaye uliitwa kwa daktari ukatibiwa.Au ndo mtoto alivyotibiwa ukaondoka nao! Kama kimeanza kuzingua...
S
Huibi kisa awali alikudanganya Hana mke! Baada ya kujua anaye unaendelea kwasababu huo sio wizi.Jamani acha tu huyo mnigeria aliyewamimba wanawake sita halafu kwa raha kabisa wanafoleni wapige picha wanaminywa matumbo.
Unaonesha ww kicheche mkomavu.Kama umeweza omba Hadi namba ya simu ya mwanaume ukanyimwaaaaaa! Jitathmini, Ushauriwe nn Sasa uko level hiyo.Njia panda gani uliyopo ya Ndembela au?
Ni hiviiii kwanza pole kwa kuuguza mama.Mwenyezi Mungu amsaidie mama apone haraka.Pili najiuliza sababu ya ww kuingia gharama kisa mimba,concentrate na mgonjwa.Usijadili lolote kuhusu mimba Wala mahali.Yeye mwenyewe atachagua afanye Nini.Kuhusu 5m hebu tulipe wadau Kama Ada ya ushauri.FULL STOP
Mweeee, nimetamaniii, nikavuta picha namna ya kumweleza huyu mkurya kuwa nataka apate mwenzake.Hakuna 3 some ni zamu tu Kama wafanyavyo me.Ila kabla sijamwambia nahakikisha nimechoma sindano za ganzi sita, funguo zote nimeficha na nimempa Dada wa kazi namba za Askari hata 5 na ambulance mbili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.