Kiwanja kilichopimwa,Chenye documents kinauzwa.
Mahali; Sofu Kibaha picha ya ndege,km 2 toka main road ya Dar-Chalinze.Upande wa kushoto wa gereza kama unatokea Dar.
Ukubwa; 750 meters square sawa na 53*14.
Be; Milioni 5.
Kiwanja kimepimwa na miundombinu Ipo.Kumejengeka pia.
mawasiliano...
Mtungi Wa ORXY kg 30.6 na JIKO la plate 2 completely vinauzwa.
Mahali vilipo; Kimara
Bei vyote; 120,000
mtungi hauna gesi na jiko lipo kwenye ubora mzuri sana.Pia pipe yake ipo.
0716927054...
Kuku wa mayai (layers) wekundu wakubwa wanauzwa.
Wanapatikana kimara Dar es salaam.Wanafaa kwa kuliwa.
Mawasiliano 0716927054
Wapo 70 na bei ya jumla ni 7,000@.
Karibuni.
Friji brand ya BOSS Inauzwa.
Bei 270,000 fixed (haipungui)
Mahali ilipo kimara Dar es salaam
Imetumika mwaka mmoja bado ipo kwenye muda wa warranty
Mawasiliano; 0654505476
Tank aina ya polytank used linauzwa
Mahali : Kimara mwisho, Dsm
Ujazo: Litre 2000
Bei: 220,000 fixed
Bado lipo vizuri sana,nauza sababu nataka kununua kubwa zaidi.
Linafaa kwa shughuli zote.
Mawasiliano: 0712784872
Milango ya Mninga pamoja na frame zake inauzwa kwa bei Poa.
BEI; 270,000 (pamoja na frame yake)
LOCATION: Mwenge (Dar es Salaam)
CONTACTS; 0789 427831 Or PM.
Ndugu wanajamvi kuna malipo nje ya nchi nataka kufanya kupitia njia YA POSTAL ORDER.
Nimejaribu benki za NBC,CRDB,KCB,TWIGA,EXIM Zote hawana huduma hii.Je ni benki gani naweza pata hii huduma??
Malipo ni kwa ajili ya Udahili Katika chuo flani nje ya nchi..
Ndugu wanajamvi naombwa kujuzwa taratibu za kukopa Katika taasisi zetu za kifedha upoje kwa dhamana ya title deed/hati ya Kiwanja..
1: Je nahitaji kuwa na business plan ili nikopesheke?
2; Je. Naweza kukopeshwa kiwango cha fedha Mara ngapi ya thamani Ya kiwanja changu?
3;Je naweza kukopeshwa ili...
Ndugu wanajamvi naomba kujuzwa taratibu za kukopa Katika taasisi zetu za kifedha upoje kwa dhamana ya title deed/hati ya Kiwanja..
1: Je nahitaji kuwa na business plan ili nikopesheke?
2; Je. Naweza kukopeshwa kiwango cha fedha Mara ngapi ya thamani Ya kiwanja changu?
3;Je naweza kukopeshwa ili...
Bidhaa za DAMA zimewasili nchini na zinapatikana kwa jumla na rejareja madukani...Bidhaa hizo ni;;
SABUNI; Hii hujulikana kama Dama Organic Soap (Haichubui ngozi,huondoa chunusi,mabarango na harara kwa kiwango kikubwa)
LOTION; Hii hujulikana kama Skin Secret (Ni nzuri kwa ngozi za aina zote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.