Katika maisha kuna kusaidiana,ila turudi pale adeni,baada ya mwanadamu kuanguka dhambini Mungu alitoa adhbu ya kudumu kwetu,"Mwanmke atazaa kwa uchungu na manamume atakula kwa jasho. Kwa hiyo wakati mwanamume yupo kwenye kutafuta mwanamke anakuwa nyumbani akilea nyumba na vilivyomo:eyeroll2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.