Mkuu uliecomment hapo juu umekosea kidogo ni siku ya 14 toka aanze kuona siku,hata hivyo anaweza kuanza siku ya 10 toka aanze kuona siku hizo siku kuanzia ya 10 hadi 18 anaweza kushika ujauzito
Mkuu kama madaktari wamekwambia upasuaji ndo suluhisho kwa nn usimshauri afanyiwe tu.wazee wanateseka sana,mm baba yangu alikuwa na hiyo shida mbona alifanyiwa upasuaji mwaka juzi hadi leo mzima na ana miaka zaidi ya hiyo 65.vinginevyo atatumia mpira tu(catheter).
Sio lazima na wewe umshauri yy ameomba ushauri kwa wataalam mambo ya kutoa mimba yanatoka wapi sasa?hizo mimba ulimtoa ww?pole ndugu yangu humu utaambiwa mengi.
Mkuu wengi tunatamani hiyo dawa yako ila hiyo pesa ndo tabu?kwani lazima hela yote kwa mara moja?tufanyie tulipe nusu halafu nusu ingine baada ya 3 months.natamani sana kupungua mkuu nina 80kgs afu sio mrefu.
Habari jamani.
naomba yeyote anaefaham hospitali au clinic ya private inayotoa dawa kwa waathirika wa HIV kwa hapa Dar.
hospitali za serikali natumia siku nzima kuchukua dawa kwa sababu ya foleni.natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.