hili ni tatizo kubwa kwa baadhi ya watu, kuna siku binamu yangu alikuwa anaumwa nilipo rudi home niliita sana sikupata jibu nilipoenda rum kwake nikamkuta ameanguka toka kitandan na amepoteza fahamu nkampatia huduma ya kwanza nkampeleka hospital akachomwa sindano ya kupunguza maumivu,nilipo...
Major General Mstaafu Bakari Shabani ameaga dunia, mwili wa marehemu upo hospital ya Lugalo. Msiba upo nyumban kwake Osterbei, heshima ya mwisho kwa marehemu itatolewa siku ya jpili tarehe9/03 itakayoongozwa na Mh.Rais Dr. Jakaya Mrisho kikwete. Pole kwa wafiwa wote
ha ha ha Mbona hawa watu wanatukanganya? Zito amesemd anamiliki gar mbili tu Carina na Freelander na Mkono amesema amemuuzia Land cruiser na amemkodisha Nissan patrol. hapa akili mkichwa
huu ni unyama ambao hauwezi kuvumilika profesa mzima ameamua kumwingilia kimwili mtoto ambaye ni sawa na mjukuu wake na kumuambukiza virusi vya ukimwi, watu kama hawa wanastahili kunyongwa kwa kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.