Nilisoma mahali ".......the disfference between success and failure is how you adapt to your enemy and the adaptation is not neccesary to look alike....."
Waungwana wanateseka sana hapa duniani ila masheta yale yanayoamini mwanaume mashine yanakula tu mema ya nchi.........mkuu pole sana na huna sababu ya kuendelea kukaa katika majonzi get up keep running coz maisha lazima yaendeleee
Naomba nikupe msaada kutambua ulichoongea si sahihi ila kuna chembe za wivu kwa jinsia hii adimu.
1.Kuna tofauti kati ya kufuli inayofunguliwa na funguo nyingi na funguo inayofungua makufuli mengi. Wanaume ndo funguo sasa
2. Kuna theory fulani ivi inaitwa "law of use and missuse" ina support...
Kama mkuu ametoa ruhusa maana yake nini?? Kunaruhusa ya kuvunja sheria inayotoka kwa mkuu ambaye sijui ndo mtunzi ama mmiliki ama aliye juu ya sheria iyo??
Nakumbuka maneno niliyasikia kutoka mahala "......the greatness of any community depends on its fidelity to the constitution and above all...
Kwaiyo wewe unaona ni sahihi libomolewe??? Limejengwa kwa kodi za walala hoi afu lazima lijengwe tena kwa tozo zaidi kwa wananchi hawahawa ambao hawajui mchana wao utakuaje??? Walioahidiwa ajira na zinaletwa 1/8 walobaki wote 7/8 wako mtaani, ivi wewe unalipa kodi yeyote nchi hiii
Nadhani unapaswa kufanyiwa vipimo vya mifumo yako ya uzazi ili kujua upi upo complete, strong an full functioning then kutokea hapo ndo itafahamika.......japo ninachokijua nikua huwezi kuwa na system zote zikafanyakazi completely lazima moja wapo itakua weak or incomplete au zote zikawa partial
Mimi nnavyojua haya mambo huwa yananoga zaidi yanapokua suprise na kwakweli naenjoy sanaaaa.........yani nikiwa najofanya niko busy na movie mara paaaaaa noma sana.
Sijui wewe mleta uzi ulitaka maandalizi ya miezi mingapi?
Mtoa mada umechanganya madesi au ndo C&P???? Hapo umeongelea homa ya ini (hepatitis) ambayo hu present na jaundice au unjano kwa macho. Homa ya manjano (yellow fever) ni kitu ingine aisee.
NOTE: Be very careful, hizi ni taaluma za watu waache wenye taaluma wafanye yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.