Wanajukwaa hebu tazameni hii nimeitoa huko kwenye wavuti ya mbeya yetu; Naamini mnajua kusoma.....
MHESHIMIWA NDG. ABAS KANDORO,
KAMA MKUU WA MKOA NA MWAKILISHI WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE MKOA WA MBEYA, TUNAPENDA KUSOMA MBELE YAKO TAMKO RASMI...
sasa wewe ndio inaendeleza mawazo mafupi. Kwa nini msijihesabu nyie wenyewe hadi muilazimishe serikali iwahesabu.mi nafikiri uwezo wa kujihesabu bado mnao sio mpaka msubirie sensa ya taifa na kuamua kuingiza vipengele vyenu vya udini ambavyo havijengi. Yaani hata kujihesabu hamuwezi...
usiwe mpuuzi wewe kikwete amesoma na kutibiwa katika hizo facilities za kikristo na ikiwezekana baba kama alibahatika kusoma lakini?
Usitumie masaburi kufikiri
tarehe tatu si ni wiki ijayo au?
Kama ndivyo basi hamuonekani kuutangaza vizuri huu mgomo wenu mkuu....
Je huu mgomo ni kwa ajili ya walimu wa sekondari tu au?
Pia walimu mtaaminika pale mtakapoacha kuongea na kuwa practical kwa jinsi tulivyowazoea walimu tunajua tu kuwa haya ni maigizo...
najaribu kutafakari hapa kuhusu huu mgoomoo wa walimu
nasikia kwanza kwa sasa shule zimefunga na wanaoenda shule ni wanafunzi wa darasa la saba tu
na imefanywa hivi ili kuruhusu zoezi la sensa ambalo kwa kiasi kikubwa walimu ndio the machinery kubwa inayotumika ili kufanikisha
halafu viongozi...
nchi hizi ambazo hawa madaktari wengi wanaenda angalau wananchi wao wengi wanaongea kiingereza sasa hawa wairan wakija hapa bongo watakuwa wanatibia wanaojua kizungu au kiarabu tu au?fikiria hapa!
Huko wanakoenda mazingira ya kazi yameboreka kulinganisha na Bongo ndugu! hata hapo rwanda tu...
Inauma lakini tujiulize
kwa nini wanaondoka leo
moja, ni kutokana na mlolongo wa matukio migomo kutaka maslahi bora kwa kila mtanzania /uboreshaji wa huduma za afya unawagusa watanzania wote hata mafisadi kwani ndugu zao hutibiwa humu humu nchini/
daktari akilipwa vizuri hakika kazi yake...
Inaonekana kwanza huelewi utendaji kazi katika sekta ya afya unakwendaje
VIFAA VYA MAHOSPITALINI NA WANAOHUSIKA KUVITUNZA
Vya theater hutunzwa na watu wa theater -kazi ya daktaari hapa ni kwenda kufanya operesheni tu...
vya maabara hutunza na watu wa maabara pia-daktaari huagiza vipimo tu...
@ Bishanga pole mkuu never mean to annoy you point taken.....ila we can change a lot of things positively kama tutaamua kushirikiana na ku take charge na si kuwaachia hawa waliowakamata jamaa waliomtesa Dr Ulimboka.....
kama mwana ccm ameamua kuuchana huo ubovu kwa kitabu maana yake ukweli wake utabaki milele labda watu waamue kuharibu vitabu vyake vyote
big up to him
to me he is so smart and courageous
wewe unapotosha nani amesema taaluma fulani ni bora kuliko nyingine
taaluma zote zinategemeana lakini haimaanishi kuwa ndio msifanye juhudi za kuboresha huduma......
Yaani umeridhika kulala chini hospitalini
huyu mgonjwa anaharisha damu wewe una malaria mnashea godoro chini ,melala
na...
kweli wewe ni mzalendo kwa sbb unakula tanzanite,gold,diamond,uranium ,gas .....etc pampja na akina DHAIFU na kichaka chake cha majmbazi aka sirikali
au hauli hata sumni lakini umeridhika asilimia moja ya watanzania SIRIKALI NA DHAIFU kula asilimia 96 ya mkate wa watanzania milioni 45
ambacho hukijui ni kuwa wangapi sasa huwa wanakufa mahospitalini bila ya mgomo kuwepo...
Pili haujui kuwa daktari huwezi kumlazimisha akutibie...think here?
Tatu hujajiuliza kwa nini serikali katika madai yote madaktari dai kubwa lilikuwa ni kuboresha huduma kwa kupata vifaa tiba na madawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.