Hakuna gamba hapa. Na kama tunataka kwenda mbele na kuvuka salama lazima tujitofautishe na hawa magamba ambao hawana wala hawataki kuulizwa na kama tutaendelea na hii tabia ya kuogopa kuhojiwa then what is the different then?
Tatizo siyo kuondoka kabla kwani hata kiwango kilichopatikana jana kilitangazwa hata wale wasiyokuwepo wanajua kiasi gani kilipatika. Pale Naura Spring kilitangazwa pia kwa maana hiyo kila mdau anajua. Hoja yangu hapa siyo tu kilichopatikana ila matumzi pia yanatakiwa kuwa wazi.
Tofauti na...
Wadau JF.
Napenda kutoa changamoto ili kuweza kupata mawazo chanya juu ya mustakali wa chama chetu tukipendacho.
Moja ya jambo ambalo limekuwa likinitatiza sana ni jambo la uwazi na uwajibikaji ambao chama chetu kimekuwa kikipambana nacho kwa maisha yake.
M4C ni wazo zuri sana hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.