Nimeangalia mkutano wa leo jagwani kitendo cha m/kiti wa cdm kukanyaga kanyaga kadi za chama kingine si cha kiistarabu kinashusha hadhi yake kama m\kiti.
Tanzania bwana,yaani viongozi wanafanya mambo ya ajabu ajabu kwa manufaa yao tupo tunalalamikia kando wenyewe muda wao ukiisha wana hela zao kwenye akaunti za nje.Je hivi tunafahamu wamekubaliana nini ndani ya hiyo mikataba?hivi tumefaidika nini baada ya kuruhusu wachimbe madini?hao jamaa...
Doma utashambuliwa sana humu jamvini,jamaa ana washkaji wengi humu nashangaa mbona Cv za wengine mnaponda hii mnatetea.Jamaa amesoma Forest sec. morogoro enzi hizo baba Rc wa moro badaye akaingia chuo cha diplomasia Kurasini kwa ajili ya diploma,baada ya hapo alienda UK sijui alisoma/alimaliza...
Ikumbukwe kuwa Raisi aliteua wabunge 3 toka Zanziba i.e Mbarawa,Nahoza na Meghji vilevile Meghli alishawahi kuongoza wizara ambazo si za muungano hapo nyuma i.e Utalii na afya.Nadhani hata mtu wa Zenji anaruhusiwa wizara zingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.