Bora wangeniuliza kaka,niliwaoma watoe nafasi 30 kutokana na hali ilivyo cha kushangaza walitoa 20 na matusi juu,na waliokuja wote walikua ndugu wa karibu sana na walisafiri mbali tu.Mume wangu sikumjua vizuri coz kikazi tupo mbali kabisa so nilikua siishi naye.
Mapi tatizo hawajataka kuliongelea mm ningesamehe,then tatizo sio mm ni yaliyotendeka siku ile,Mzazi wangu aliyaona mengi ndugu yangu hadi akafikia kusema hayo!Ni mambo yanayoonekana madogo lkn yanasumbua kichwa sana.
Nashukuru kwa ushauri my dear ila jamani,mbona naona hatutafika?yani wiki haipiti hatujakwazana na nisiposolve mimi tutanuniana tuu,yani hadi kanisani tulishaenda lkn hakui wakati ana miaka 35.
Mimi ni mwanamke wa miaka 28,nilipendana na mpenzi wangu tukapata mtoto kabla ya ndoa na baada ya muda tukafunga ndoa,Sitaisahau siku ya ndoa yangu kwani ilikua siku mbaya maishani mwangu,upande wa mume wangu ulionesha dharau kwa upande wangu,kwani waliwazuia kuingia ukumbini kisa walizidi watu...
Habari za leo wajameni naomba anayefahamu fonimu za kipare(a,b.ch,d......) anisaidie na jedwali la mahala pa matamshi na namna ya utamkaji.
Pia kama unajua source yoyote nayowezapata material kuhusu hilo naomba.Be blessed!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.