Mimi ni-mind sana hawa watu wanaoingia kwenye majadiliano bila kuwa makini. Nahisi kuna watu wanataka tu kuvuruga mtiririko wa mawazo na michango ya watu makini. Komeni kuchezea JF!!!
...eti zinanichochea niwe na wanawake wengi, je wakuu sijapokonywa haki yangu?
Mkuu your wife anakupenda sana. Kuna mambo ambayo kwa kupitia hizo CD umekuwa unamfanyia na ukawa umamgusa sana. Anafikiri jinsi ambavyo mwanamke mwingine anavyoweza kupata hicho unachompa. Ni wivu tu.... ni...
Hivi waziri wa miundombinu na wasaidizi wako pamoja na hiyo Tanroads mnakuwa wapi mpaka issue ya mkandarasi kuendelea kukwangua barabara inayopaswa kuwekwa lami kwa miezi 24 mpaka hili lijulikane kwenye ziara ya raisi? Raisi wetu una kazi kwelil kweli!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.