haya mawazo ni mazuri sana, hata mm ni mpenzi wa CDM tusipojirekebisha katu Ikulu hatuioni!!! tusiwe wepesi wa kuwaambia wezetu wameongea pumba ili hali mawazo ni mazuri na ya kutujenga.... ni hayo tu kwa leo!!!
jamani mimi napenda mageuzi lakini sasa hofu yangu ni kwamba tunatakiwa kutii sheria tusionekane sisi
tunapenda fujo!!! sasa hebu angalia kina mama wanataabika na hayo mabomu wakiwa na watoto jamani!!!!
kama vp wangeenda tu kimya kimya kwenye mkutano kwani kinachotakiwa si ni kusikia ujumbe...
asante sana mh mbunge wangu kumbe nilikuwa sina taarifa zingine, nashukuru sana kwa kuchukua muda wako kunijibu mbunge wangu, kumbe kwenda kwangu kituoni saa 11.30 alfajili siku ya uchaguzi pale kitu cha kibangu engl medium kulikuwa na maana sana .... once agaian thanx 4 replying!!!!! aluta...
mh mbunge wangu mnyika mm ni mkazi wa kibangu mbona sisi barabara yetu mbovu???? sijawahi kukuona hata ukija ubungo kibangu kila siku naskia ww na kimara, kimara na wewe!! hiyo namba ya cm kila cku imezimwa! na ikiwa wazi haipokelewi sasa nikueleweje, yaani sasa mpaka kanisa limeamua kujenga au...
Kwa kweli dada umemshauri vizuri naongezea tu hata kama atamrudia ahakikishe wanapima kwanza asijepata tatizo baadae na kuwaacha watoto wadogo wateseke bure! Ndoa gani ya hvo? Hamna heshima usingángánie mwenzangu!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.