Natumaini mko poa
kuweka story iwe fupi nikwamba kuna jamaa alichukua mkopo kwa jna langu katk moja ya bank zetu na akaforge baadhi ya document wale jamaa wa bank wananisumbua mimi huyo jamaa kaniambia anamfadhili wake je iinawezekaneaaka kubadilisha jina toka kwangu kwenda kwa mfadhili wake?
Nafikiria labda ni lugha ya kimombo lakini sijaelewa haswa kashfa za email za huyu mama anae pewa nafasi kuwa Amiri jeshi mkuu wa taifa kubwa Duniani naomba kujuzwa
Nimesha kutana nae na fammily yangu upande wa baba yangu wote wanamfahamu na mara nyingi anashiriki events nyingi za kule nyumbani Dar alikua jirani yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.