Katika huu Uzi wako unatakiwa useme haya ni maoni baadhi ya wachambuzi na sio msimamo wa serikali ya Israel....katika hii link uliopost hakuna sehemu serikali ya Israel imeongea.....hiki ulichopost
Unajua hiyo ndege unayoisema imeruka saa hizi Jerusalem?...inaitwa DOOMSDAY unajua kazi ya hiyo ndege?
Nakuwekea hapa link
https://twitter.com/Goddie_Ke/status/1779260906473426994
Alafu google uone maana ya hiyo ndege
DOOMSDAY
Matusi ya Nini maku wewe.....wameguswa mabwana zenu tuzi zinadunda mngese wewe kama huna hoja pita kimya acha matusi....alafu acha kuhusisha dini za watu kwenye mihemko Yako ya kidini kenge wahed
Russia kenge kabisa unaacha kushambulia kambi za kijeshi au majeshi yalipo unashambulia huduma za kijamii...pumbavu kabisa Russia mpaka wanawake zao wanaoshabikia....
Yasio na faida wewe una akili sawasawa?.....unajua Israel anachoifanya Gaza mpaka duania nzima inaomba cease fire?....alafu unakuja kenge MMOJA upo zako madrasa na msigida wako kama kilaka unasema malengo hayajatimia😀😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.